matongo manawa
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 336
- 79
Kuna kila dalili za kuibuka mgogoro wa kidiplomasia Kati yaTz na Kenya kwenye mpaka
wa Horohoro ambapo kuna mradi wa ujenzi wa mradi wa one stop border.
Kila Nchi inajenga mradi huu kwa upande wake lakini cha ajabu wakenya wamechimba fence na kuingia hadi kwenye ardhi ya Tanzania.
Nimepita eneo hilo nikaona wajenzi wanafanya kazi huku nafasi ya Normanland ikiwa nayo inajengwa ukuta kuingia Tz, nilijaribu kuwadodosa wenzangu tuliokuwa tunavuka nao mpaka nao wakasema wanashangaa!!
Sijui serikali yetu inajua???
wa Horohoro ambapo kuna mradi wa ujenzi wa mradi wa one stop border.
Kila Nchi inajenga mradi huu kwa upande wake lakini cha ajabu wakenya wamechimba fence na kuingia hadi kwenye ardhi ya Tanzania.
Nimepita eneo hilo nikaona wajenzi wanafanya kazi huku nafasi ya Normanland ikiwa nayo inajengwa ukuta kuingia Tz, nilijaribu kuwadodosa wenzangu tuliokuwa tunavuka nao mpaka nao wakasema wanashangaa!!
Sijui serikali yetu inajua???