Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Hivi jamani mpaka saa hii JK hajatoa tamko au hajaamka? Mimi nilitegemea pale Kisutu saa hizi David Jairo yuko kwenye msitari akisubiri kupanda Tdi ya polisi kuelekea Keko! Yaani hata hapo tunasubiri ushauri? Tanzania!