moyo wangu una huzuni kiasi cha kufa

Smile

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
15,347
11,610
43153.jpg



Dear mother,sweet mother please fight for me
Dear friends mama yangu anaumwa saaaaaana please muombeen
i.
 
Pole sana Smile.....
usijali mama atapona.....
Tunamuombea na nina hakika Mwenyezi Mungu atasikia sala zetu......
 
Ok unajua nilikuwa sijaona hayo maandishi mengine siunajua hv vimeo vingine baba!
Mpe pole sana bana,
Hakika mungu wetu ni mwema natamsaidia atapona haraka iwezekanavo!!!!
 
Pole sana jamani,lakini usisahau Mungu wetu ni mponyaji hivyo tuzidi kumuomba na kumuamini,usipoteze imani,hakuna neno gumu kwa Mungu,
 
Tunakuomba ewe Baba Mwenyezi unyooshe mkono wako umponye huyo Mama anayeumwa apate kupona na kuwa mzima kabisa katika jina la Yesu Kristo wa Nazareti unayeishi na kutawala milele na milele pokea uzima Mama sasa katika jina la Yesu Kristo, nguvu zote za wachawi, wanga, mapepo, majini nazivunja na kuziamuru zitoke na kurudi zilikotoka kwa jina la Yesu Kristo, asante Yesu kwa kuwa hakuna linaloshindikana kwako, ni katika jina la Yesu Kristo ninaomba na kushukuru, Amen.
 
Very sad. Mwenyezi mungu amjaaliye apate nafuu haraka. Maradhi ampe paka mweusi. AMIN.
 
Tunakuomba ewe Baba Mwenyezi unyooshe mkono wako umponye huyo Mama anayeumwa apate kupona na kuwa mzima kabisa katika jina la Yesu Kristo wa Nazareti unayeishi na kutawala milele na milele pokea uzima Mama sasa katika jina la Yesu Kristo, nguvu zote za wachawi, wanga, mapepo, majini nazivunja na kuziamuru zitoke na kurudi zilikotoka kwa jina la Yesu Kristo, asante Yesu kwa kuwa hakuna linaloshindikana kwako, ni katika jina la Yesu Kristo ninaomba na kushukuru, Amen.
ubarikiwe mpendwa
 
Pole sana Smile, Mungu ni mwema, mama atapona. Huu ni muda wako wa kumuombea sana, usiruhusu kukata tamaa. I promise to pray for her.
 
Pole sana smile, usife moyo, amini Mungu ni mwema na yuko upande wako. Kuugua sio kufa hivyo amini kuwa mama atapona! Tunamwombea apone upesi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom