Moyo wangu umewaangukia hawa

Sasa huyu nae moyo wake kama kitenesi. Unadondokea hapa, unadunda then unadondokea pale. Kazi kweli!
Kitenesi kama hivi wanavouza kwenye maduka ya wachagga au vile wanavyochezea kina Wozniac?.......JUST ASKIN
 
mkuu umeingia kwa speed kweli kweli,
angalia kuna vijana wanamiliki vitu humu jf,
kama hujajua utakula ban la kushtukiza hadi ushangae.
 
mkuu umeingia kwa speed kweli kweli,
angalia kuna vijana wanamiliki vitu humu jf,
kama hujajua utakula ban la kushtukiza hadi ushangae.
Ila si tunaelewana,kwani mapenzi ugomvi?
 
Back
Top Bottom