Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Wapendwa natumaini mu wazima wa afya, nina nyanya yangu mwenye umri wa miaka 80 na ushee hivi, amekuwa akiugua hapa na pale, mnajua mambo wa uzee tena, sasa hapa juzi kati hospital (kcmc) wamemwambia moyo unakuwa mkubwa.....wakuu hii ishu inaakaaje...nini sababu ya hili tatizo? naombeni msaada wenu wa mawazo