LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Maneno mengi ya Kiswahili yametoholewa kutoka lugha za kigeni, lakini hili la "stelingi" kwa kumaanisha kinara wa filamu, limetoka wapi?
Maneno mengi ya Kiswahili yametoholewa kutoka lugha za kigeni, lakini hili la "stelingi" kwa kumaanisha kinara wa filamu, limetoka wapi?