Waungwana wa jukwaa hili, salaam!!!
Hebu nijuzeni kitu kimoja!!!! Nina stories za kumwaga kwenye karabrasha zangu ambazo zinaweza kuwa filamu au tamthilia!!! What i need to know ni endapo kuna soko la scripts za movies au tamthilia hapa bongo!! Au jamaa wanajiandikia wenyewe?! anyone ambae anaweza kuwa interested, tuwasiliane
Hebu nijuzeni kitu kimoja!!!! Nina stories za kumwaga kwenye karabrasha zangu ambazo zinaweza kuwa filamu au tamthilia!!! What i need to know ni endapo kuna soko la scripts za movies au tamthilia hapa bongo!! Au jamaa wanajiandikia wenyewe?! anyone ambae anaweza kuwa interested, tuwasiliane