roselyne1
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 1,365
- 93
Hv kwani joti ameigiza kishoga?...Nguo za kuvaa akinipangia kupangiwa na mke kwani jambo geni? asiponipangia mke wangu nguo ya kuvaa anipangie nani-house boy? Hayo ndy majukumu ya kupendana, siyo kuonyesha maziwa yako kwa wnaume kisa Riziki, usiwe mvivu wa kutafuta njia za kutafuta riziki, ukijiendekeza utaweza kujikuta unauza mwili kutafuta "rizki"!!! KUIGA KUNASUMBUA WENGI!
hee hujui kama joti kaigiza kishoga?
kumpangia mtu/mkeo nguo za kuvaa sio ishu kama mkeo ameridhia kuvaa hizo nguo,hapo nilimaanisha wale wanaume wachache conservative..(by the look of things wewe ni mmoja wao)...in the name of 'love/ndoa'...wanao'shurutisha' wake zao wavae hivi au vile..'kuwapelekesha' na kuwageuza watumwa wasio na maamuzi katika mambo,...
kama unaona una roho nyepesi muache mkeo nyumbani,wewe ndio ukatafute riziki...kuonyesha maziwa,sio ishu???wapo wanaoyafunika na ndio wanaotembea nje ya ndoa,,,,,,
hio ni kazi kama kazi nyengine,na mkeo akiwa kiwembe sio lazima awe muigizaji ndio atembee nje ya ndoa,anaweza kutafuta njia nyengine za kutafuta 'riziki' akawa daktari,nurse au mwalimu na bado akatembea nje ya ndoa...
msii-presurize ndoa ya watu ikavunjika kwa sababu ya maudhaifu yenu,kila mtu na choices zake in life,kama uliamua kwa sababu zako kumuuoa mwanamke mwalim,askari nk likewise mume wa irene alimuoa Irene akijua yeye ni muigizaji!:A S angry: