samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Huyu mdada nadhani wengi mnamfahamu..hata kama ni kazi mhh,hizi scene zingeachiwa mateenager
mmmmmh bora sijaoa aisee.. hapo hata kama ni profession mi hapana loooh
nikistrech imagination namuona JB anavyougulia hapo kitu kiko perpendicular