Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Wadau hii hotel zamani ilikuwa inaitwa Sheraton wakaja wawekezaji wakachuma faida bila kulipa kodi wakabadili jina ikawa Movenpick Royal Palm wawekezaji wamechuuma weee sasa karibia miaka mitano imeisha ambapo serikali inasamehe kodi kwa mwekezaji wamekuja na jina tena jingine inaitwa Serena hivi huu mchezo wa kusamehe kodi wawekezaji wakubwa kama hawa itaisha lini au na maboss wanafaidi? Mi nimefungua kagrosali kangu TRA kila siku wanaandamana na mimi kwa siku hata kreti haliishi jamani watanzania imefika sasa kipindi tuseme enough kwa pamoja tumegeuzwa mazuzu wanawaacha makupe hawa wanao nyoja wanakuja mitaani kutukimbiza akina baba lishe inasikitisha sana.