Kwa jinsi inavyoonekana ni kua MAGENGE YA VINEGA(mapacha,adili mkwela,peen lawyer,chief rumanyika mkoloni na wengine wengi) pamoja na SUGU walikua kwenye movement 1 lakin kila mtu alikua na madai yake mfano vinega(antvirus) walikua wanapinga unyonyaji wa mziki wakati sugu alikua ana fight dili yake ya malaria.