baada ya mahakama kuwaamuru walim wrudi kazini chama cha walim tanzania kilisema kinakta rufaa na watatujulisha nini kinaendelea.na kudai endapo serikali haitakuja na nyongeza nono mgomo utaendelea.swali: mbona kimya hadi leo au ndio mmesha tulizwa maana hamtuelezi ninikinaendelea tangu tunaomba majibu maana viongozi wengine wa cwt wanapatikana humu jf.