Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
- Thread starter
- #101
duh!Game Theory,
..safi sana mkuu.
..sasa usiishie kulalamika tu.
..andika MOU kati ya serikali na Bakwata au Shura ya Maimamu ili Waislamu nao wafaidike.
.
GT,
..kazi gani tena?
..kila kwenye jina la taasisi ya Kikristo unaweka jina la Bakwata au Shura ya Maimamu.
..this is a chess game my friend.
..serikali imejiingiza "mkenge" kusaini MOU na taasisi za Wakristo, now they have to do the same kwa Waislamu,Mabohora,Baniani etc etc.
NB:
..naona umemtupia kidongo Edward Lowassa kuwa ndiye signatory kwa niaba ya serikali.
..kukumbusha tu, hiyo MOU ilisainiwa wakati ambapo Alhaji Mwinyi, na Alhaji Prof Kighoma Malima[r.i.p], wakiwa kwenye baraza la mawaziri.
..haiyumkini serikali kuingia mkataba mzito kama huo bila BARAZA LA MAWAZIRI kutaarifiwa.
sasa hii memorandum naona imejikita zaidi katika provision of elimu na afya, sasa maafa yake kwa uislamu ni nini? kwamba hizo shule na hospitali na za wakristo pekee yake au? maana kama kule peramiho ile hospitali ni ya wote na inatoa huduma kuliko hospitali za serikali, ukienda Njombe utakuta hospitali za walutheri etc, na sasa hivi Pengo alikuwa anajenga shule Rufiji je hizi zote ni juhudi za kuwaonea Waislamu? Bagamoyo kuna shule ya Marion Girl's na kuna watoto wa wakubwa wengi tu wanasomo huko na ni waislamu, je aliye iweka au kuwaruhusu waislamu kusoma huko kafanya kosa? Nakuomba ndugu yangu pale penye kitu kizuri tukiseme kibaya tukiseme, tusije panda hii mbegu ya ubaguzi haito tupeleka kokote.