Binafsi uwa siafikiani na tabia ya wanausalama wetu kuiga ulinzi wa marais wa nje. Kwa sababu hata ukiangalia level ya vitisho ni tofauti kabisa kwa kila rais hapa duniani. Marais wetu wanaweza kutembea kwa miguu mitaani na wasifanywe lolote na mtu!
Kwa msingi huo, utaona kuwa kwetu suala la usalama linatumia gharama nyingi sana unneccessry! Ukawii kusikia inaagizwa hata gari ya kugundua shambulio la kemikali!!!! Unacheza na bongo?
nani mwenye shida na JK . kama hiyo kitu iko ni gheresha tuKaka hata motorcade ya Raisi wetu imetulia. Huwezi jua yuko gari gani! Sometimes anakuwa kwenye ambulance
Binafsi uwa siafikiani na tabia ya wanausalama wetu kuiga ulinzi wa marais wa nje. Kwa sababu hata ukiangalia level ya vitisho ni tofauti kabisa kwa kila rais hapa duniani. Marais wetu wanaweza kutembea kwa miguu mitaani na wasifanywe lolote na mtu!
Kwa msingi huo, utaona kuwa kwetu suala la usalama linatumia gharama nyingi sana unneccessry! Ukawii kusikia inaagizwa hata gari ya kugundua shambulio la kemikali!!!! Unacheza na bongo?
Kaka hata motorcade ya Raisi wetu imetulia. Huwezi jua yuko gari gani! Sometimes anakuwa kwenye ambulance
Hapa hapaingiliki.
Najaribu kukuza picha bila mafanikio natumaini zitasomeka vizuri.
Kwa picha zaidi tukutane kule kwetu. WALINZI WA ....
View attachment 57046