Motorcade ya Rais wa Marekani Obama !!

Lakini Siku ikifika faili likaitwa na mwenyewe na akaona ni saa njema kumrudisha hayo yote ni bure!!! heheehe
 
ya obama imetulia ila ya jk mara tairi limechomoka mara mafuta yamechakachuliwa mara wamegonga pikipiki hakuna umakini na barabara zenyewe hizi .... mmh
 
duhhh hivi kwnn wanalindwa hivi kwann kusiwe na msafara tu wa gari mbili au tatu Tz ni nchi ya amani
 
Binafsi uwa siafikiani na tabia ya wanausalama wetu kuiga ulinzi wa marais wa nje. Kwa sababu hata ukiangalia level ya vitisho ni tofauti kabisa kwa kila rais hapa duniani. Marais wetu wanaweza kutembea kwa miguu mitaani na wasifanywe lolote na mtu!

Kwa msingi huo, utaona kuwa kwetu suala la usalama linatumia gharama nyingi sana unneccessry! Ukawii kusikia inaagizwa hata gari ya kugundua shambulio la kemikali!!!! Unacheza na bongo?

Pia nadhani kuiga kunawaweka vulnerable kwa wabunifu wa hizo style.Ni bora pia waje na style zao na kuendelea jifua zaidi ,pia wafanye simulations nyingi za matukio yanaweza fanywa katik kumdhuru rais au hata kiongozi mwingine yeyote.Pia kuhimiza mahusiano mazuri katika ya watawala na wananchi, kwani uhusiano mzuri katika ya hizi kada ni ultimate insurance.

Security is a moving and dynamic settings.Imagine mtu mwenye hasira ambaye katoka nyumbani kwa nia ya kudhuru na hajamwambia mtu nia yake na mlipuko.Hapa hakuna nasafi ya habari ku leak, labda ajibehave vibaya ila kwa kiasi kikubwa naweza fikia lengo.Hapa sijui kama gari la presidaa likianguka mtoni likiwa katik hizi mbio kama litamwacha hai.So dynamism na haiba ya rais kwa wananchi ni ultimate security win.
 
Huyu wetu si lazima atoe kichwa nje kuchekicheki na kugawia watoto pipi
 
Binafsi uwa siafikiani na tabia ya wanausalama wetu kuiga ulinzi wa marais wa nje. Kwa sababu hata ukiangalia level ya vitisho ni tofauti kabisa kwa kila rais hapa duniani. Marais wetu wanaweza kutembea kwa miguu mitaani na wasifanywe lolote na mtu!

Kwa msingi huo, utaona kuwa kwetu suala la usalama linatumia gharama nyingi sana unneccessry! Ukawii kusikia inaagizwa hata gari ya kugundua shambulio la kemikali!!!! Unacheza na bongo?

Kweli kabisa!
 
attachment.php

Hapa hapaingiliki.

Najaribu kukuza picha bila mafanikio natumaini zitasomeka vizuri.

Kwa picha zaidi tukutane kule kwetu. WALINZI WA ....

View attachment 57046
 
Wetu hata akienda kariakoo alone hakuna atakae mdhuru

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Hii hapa ni gari ya Mhe Rais Obama, utaipenda: The new Cadillac Cadillac Presidential Limousine was designed, developed and tested by specialists who adhered to an extensive set of specifications. It's official call sign is Cadillac One, but it will always be known as the Obamobile. This is the top - security armoured limousine which has been custom built to be Barack Obama's presidential car.It will travel with him wherever in the world he goes. As with previous presidential limos it is packed with electronic communication systems to allow Mr Obama to keep in contact with the outside world.One personal touch will be the remote-controlled ten-CD changer on which he can play his favourite artists, said to include Stevie Wonder and Bob Dylan.





Cadillac-Presidential_Limousine_2009_800x600_wallpaper_01.jpg

Source:Cadillac Presidential Limousine (2009)
 
Back
Top Bottom