zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Wamechoma moto ofisi hizo ili kupoteza ushahidi kuhusiana na makampuni fake ya kifisadi akina ANBEN, KAGODA n.k. Maskini Tanzania inasikitisha sana inafisadiwa kila kona tena na wale wale tuliowamini na kuwapa nafasi za uongozi kumbe ni mafisadi tu!
Tazama post yako hii unaiquote post yangu ambayo haikusema kuwa brella imeunguwa, hivi huwa mnasoma hizi posts au mnakurupuka tu? au si ububu tu na upofu vilevile?