Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Wakuu heshima mbele,
Kama mnavyo fahamu kuna uchaguzi mdogo wa diwani kata ya Kirumba jijini Mwanza kufuatia kifo cha diwani Novatus Manoko(CHADEMA)kilichotokea mwaka jana.CCM wanafanya kila jitihada kuhakikisha wanaichukua hiyo kata huku CDM wakiwa wamejizatiti vilivyo kila idara kutetea kiti chao.CCM sasa wanahaha na mapingamizi ili mgombea wa CDM bwana DANN KAHUNGU aenguliwe,pingamizi la kwanza limetupiliwa mbali leo na afisa mtendaji wa kata ya Kirumba lakini CCM wamekata rufaa kwa Mkurugenzi wa jiji.Nitaendelea kuwapeni updates but inshort CCM tumewakamata sa.bu.ri,yaani ni man to man.
Hakuna kulala mpaka kieleweke...
Nawasilisha
UPDATES:
Mkurugenzi wa jiji la Mwanza ametupilia mbali pingamizi la CCM dhidi ya mgombea wa CDM.Sasa makamanda tunaingia kazini rasmi..Yaani hapa Kirumba ni full shangwe sasa hivi...Peopleeeeeeeeeees...Poweeeeeeeer.
Kama mnavyo fahamu kuna uchaguzi mdogo wa diwani kata ya Kirumba jijini Mwanza kufuatia kifo cha diwani Novatus Manoko(CHADEMA)kilichotokea mwaka jana.CCM wanafanya kila jitihada kuhakikisha wanaichukua hiyo kata huku CDM wakiwa wamejizatiti vilivyo kila idara kutetea kiti chao.CCM sasa wanahaha na mapingamizi ili mgombea wa CDM bwana DANN KAHUNGU aenguliwe,pingamizi la kwanza limetupiliwa mbali leo na afisa mtendaji wa kata ya Kirumba lakini CCM wamekata rufaa kwa Mkurugenzi wa jiji.Nitaendelea kuwapeni updates but inshort CCM tumewakamata sa.bu.ri,yaani ni man to man.
Hakuna kulala mpaka kieleweke...
Nawasilisha
UPDATES:
Mkurugenzi wa jiji la Mwanza ametupilia mbali pingamizi la CCM dhidi ya mgombea wa CDM.Sasa makamanda tunaingia kazini rasmi..Yaani hapa Kirumba ni full shangwe sasa hivi...Peopleeeeeeeeeees...Poweeeeeeeer.