Wapendwa,
Kasi inayoonyeshwa na makamanda wapiganaji wa Chadema Morogoro inawatisha chama cha Maumivu au Magamba kiasi kwaba wanakesha wakiweka vikao vya kuwarubuni Vijana,Wanawake na Wazee waliochoka na Siasa za majitaka za Magamba. Wiki takribani tatu hivi maelfu ya wana Morogoro waishio kata ya Kichangani walijitoa kujiunga na chama cha CDM.
Sasa taarifa za uhakika last week kuna watu hao wanashawishiwa kwa udi na uvumba kwa fedha kurudisha kadi za Chadema na kati ya watu ambaye anafadhili mradi huo ni Mheshimiwa aliyepita kwa staili hiyo hiyo mwaka 2010 ambaye sasa ni mwakilishi wa wananchi.
Napenda kulieleza hili gamba linaloona kwamba linafedha za kutawanya aache mara moja maana moto unazidi kuwaka katika kata zingine na hii inaonyesha jinsi gani asivyojiamini katika uongozi wake,na pia naiomba Takukuru ifanye kazi yake na wasisubiri 2015 ndipo waanze kuviziana na wagombea wa magamba maana hao ndio wataaluma wa kuhonga.
Wanachama wote na wapenzi wa chadema tunaomba mtuombee maana vita hii na kwa ajili ya ukombozi wa Taifa hili linalokwenda Mrama.
Nawakilisha,
Kasi inayoonyeshwa na makamanda wapiganaji wa Chadema Morogoro inawatisha chama cha Maumivu au Magamba kiasi kwaba wanakesha wakiweka vikao vya kuwarubuni Vijana,Wanawake na Wazee waliochoka na Siasa za majitaka za Magamba. Wiki takribani tatu hivi maelfu ya wana Morogoro waishio kata ya Kichangani walijitoa kujiunga na chama cha CDM.
Sasa taarifa za uhakika last week kuna watu hao wanashawishiwa kwa udi na uvumba kwa fedha kurudisha kadi za Chadema na kati ya watu ambaye anafadhili mradi huo ni Mheshimiwa aliyepita kwa staili hiyo hiyo mwaka 2010 ambaye sasa ni mwakilishi wa wananchi.
Napenda kulieleza hili gamba linaloona kwamba linafedha za kutawanya aache mara moja maana moto unazidi kuwaka katika kata zingine na hii inaonyesha jinsi gani asivyojiamini katika uongozi wake,na pia naiomba Takukuru ifanye kazi yake na wasisubiri 2015 ndipo waanze kuviziana na wagombea wa magamba maana hao ndio wataaluma wa kuhonga.
Wanachama wote na wapenzi wa chadema tunaomba mtuombee maana vita hii na kwa ajili ya ukombozi wa Taifa hili linalokwenda Mrama.
Nawakilisha,