Kuna yadi maeneo ya Tazara karibu kiwanda cha Nondo cha Gupta na ALAF inaungua.
Uko eneo la tukio au umeambiwa?
https://www.jamiiforums.com/habari-...-moto-unateketeza-yadi-ya-matruck-sokota.html
Asante mafisadi watajua na bado tuwachomee tu
Mkuu.jf watajuaje kama ni uzushi ama sio.u mean wataverify kila post??Fire brigade wameshafika? Kama bado nenda kituo cha Polisi kilicho karibu nawe ukaripoti, mimi ningeenda lakini nahofia isije ikawa uzushi maana siku hizi JF inaruhusu yote tu bila kujua la uongo na la ukweli, mfano taarifa ya kigogo aliyefumaniwa na mke wa askari singida