kwa taarifa nilizozisikia kutoka ITV habari kwa saa moto umeteketeza ghala la sigara mkoani Morogoro na inavyosemekana maboksi mengi ya sigara yameteketea
kwa taarifa nilizozisikia kutoka ITV habari kwa saa moto umeteketeza ghala la sigara mkoani Morogoro na inavyosemekana maboksi mengi ya sigara yameteketea