M Moony JF-Expert Member Apr 16, 2011 1,599 435 Aug 16, 2012 #1 Hivi sakata la moto ulounguza study ya Mh. Mkapa pale ikulu liliishia wapi. Je ulisababishwa na nini? inawezekana ikulu kukosa fire detectors?:hatari::flame:
Hivi sakata la moto ulounguza study ya Mh. Mkapa pale ikulu liliishia wapi. Je ulisababishwa na nini? inawezekana ikulu kukosa fire detectors?:hatari::flame:
Kiranga Platinum Member Jan 29, 2009 71,257 105,389 Sep 6, 2012 #3 Niliwahi kusoma kwamba moto ulisababishwa na "pasi". Ikulu ya bongo inaweza kukosa maji, nini anasa za fire detectors.
Niliwahi kusoma kwamba moto ulisababishwa na "pasi". Ikulu ya bongo inaweza kukosa maji, nini anasa za fire detectors.