Sasa hivi wametangaza radio one kuwa soko la ferry linateketea kwa moto. na vikosi vya uzimaji viko njiani kuelekea kwenye tukio, wenye habari zaidi watujuze
Ila kuna vibanda kama viwili vya wakaangia samaki vimeteketezwa kwa moto huo..Thamani ya vilivyoungua itajulishwa baadae.Nadhani umezimwa mapema kutokana ukaribu wake na IKULU vinginevyo kungekuwa na habari tofauti...
Ila kuna vibanda kama viwili vya wakaangia samaki vimeteketezwa kwa moto huo..Thamani ya vilivyoungua itajulishwa baadae.Nadhani umezimwa mapema kutokana ukaribu wake na IKULU vinginevyo kungekuwa na habari tofauti...
Inasemekana moto huo umetokea kwa sababu ya uzembe kwani watu wameendelea kukaanga samaki hadi saa 3 usiku badala ya muda wa kawaida ambao siyo zaidi ya saa 2. Ila naona mambo yanakaribia nyumbani kwani next time sitashangaa kusikia na nyumbani kwa mkulu kunapata misuko suko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.