Moto mkubwa umewasha kwa ajili ya kuchoma mapori barabarani hali hii ni tata ,wanamazingira mpo?
ungewaandikia kuwa kuna faru kafa barabarabi au tembo. au kuna mtu ana shingo za twiga sekunde ungewaona hapo. lakini hivihivi hata ungewaambia msitu wote unateketea watakwambia gari halina mafuta!Moto mkubwa umewasha kwa ajili ya kuchoma mapori barabarani hali hii ni tata ,wanamazingira mpo?
Moto mkubwa umewasha kwa ajili ya kuchoma mapori barabarani hali hii ni tata ,wanamazingira mpo?
moto wa kuunguza lmi bado sijaona!!
Mbado bac njoo uone.
samaki mwenye mapengo?