M Mafie PM JF-Expert Member Mar 19, 2011 1,317 207 Apr 10, 2012 #22 SALOK said: Pole sana wanaarusha, vp hao jamaa (fire) walifika kwa muda muafaka? Click to expand... Fire wamekuja bila maji vijana wa Chadema wakaingia kuzima moto wakiimba Peoplessssss! Power! Polisi walikaa kimya
SALOK said: Pole sana wanaarusha, vp hao jamaa (fire) walifika kwa muda muafaka? Click to expand... Fire wamekuja bila maji vijana wa Chadema wakaingia kuzima moto wakiimba Peoplessssss! Power! Polisi walikaa kimya
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 Apr 11, 2012 #23 Walengwa wa jukwaa unganisheni hii thread na ile aliyerusha Lusambo! Ingependeza sana! Ni mawazo yangu nikiwa member! Asanteni!
Walengwa wa jukwaa unganisheni hii thread na ile aliyerusha Lusambo! Ingependeza sana! Ni mawazo yangu nikiwa member! Asanteni!