ayaaaa yaani bajeti ya nchi imeharibika.serikali itapata wapi pesa na walipa kodi wakubwa ndo hawatazalisha tena.........Afadhali kansa ipungue
Bora kiungue kabisa. Huu ujinga wa taifa kutegemea kodi kwenye vitu haramu utakoma. Kikimalizika hicho moto mkubwa pia uwake kiwanda cha pombe pale karume.
mkulu anaunguza kura alizoiba uchunguzi 2010