Jamani kuna moshi unatoka floor ya tatu hapa mjengoni,.floor inamilikiwa na hawa tanznite one.Lakn cha ajabu hawana hata fire extinguisher wameenda kuazima jengo la jirani.Kampuni ya ulinzi ya worrior inafanya juhudi ku-rescue situation.
eh hizi taarifa nyingine bwana usumbufu hata kuzisoma mtu analeta habari za tukio la janga la namna hii lakini haifafanui ni wapi tukio hilo linatokea je ni Arusha, Dodoma au wapi!! Tujaribu kuweleweshana vyema.
eh hizi taarifa nyingine bwana usumbufu hata kuzisoma mtu analeta habari za tukio la janga la namna hii lakini haifafanui ni wapi tukio hilo linatokea je ni arusha, dodoma au wapi!! Tujaribu kuweleweshana vyema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.