Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Two posibilities:Mengi ameptima maji na akagundua kwenye ile vita alikua pekee, wengi wetu ni wapiga debe tu kwenye mitandao na mitaani... leo tukiambiwa tusimame tupinge ufisadi, tunakua bize
Charity starts at home
(1)Alikuwa hajui adui yake ni nani, baada ya kumjua kuwa ni yule yule aliyekuwa akimtanguliza kumuunga mkono katika vita (Hope mnamjua) aka freeze,akabanwa,akazibwa mdomo na sasa Vyombo vyake vya habari vinamshabikia adui yake pamoja na washirika wake
(2) Alikuwa mnafiki tu,alikuwa nataka kupata umaarufu na kuleta chuki zake binafsi na wafanya biashara wenzake na kujipendekeza kwa Muungwana ili kuficha UFISADI ALIOUFANYA