Mossad - The World's Most Efficient Killing Machine

Habari yako hii imekaa kiushabiki sana hivi website ya RENCE unajua ni ya nani?????? na ina malengo gani????source yako haiaminiki maana hata mimi naweza kuanzisha website nakuandika nipendayo hizi habari si za kweli bali ni za kutakia tu kuwaonyesha watu wengine ni wabaya wakati si kweli please find the concrete support ili uweze kutushawishi,ama sivyo itakuwa hadidhi ya Elfu ulela-ulela.
 
Nilitoa hapa Mossad - The World's Most Efficient Killing Machine nikaona sio vibaya niwatupie wa jf nao wasome huo uhondo. Hiyo ni simulizi ya former mossad director mr.Gordon Thomas

Huyo Thomas Godon sidhani kama ni mwandishi mzuri wa mambo ya Mossad. Nimewahi kusoma kitabu chake cha Gideon Spies na kusoma kitabu cha Victor Ostrovsky kiitwacho By way of Deception....Huyu mwandishi wa By way of Deception yuko vizuri sana na ameeleza mambo mengi ya ukweli kuhusu clandestine operations za Mossad as a case officer.
 
Habari yako hii imekaa kiushabiki sana hivi website ya RENCE unajua ni ya nani?????? na ina malengo gani????source yako haiaminiki maana hata mimi naweza kuanzisha website nakuandika nipendayo hizi habari si za kweli bali ni za kutakia tu kuwaonyesha watu wengine ni wabaya wakati si kweli please find the concrete support ili uweze kutushawishi,ama sivyo itakuwa hadidhi ya Elfu ulela-ulela.

Hivi umesoma na kuielewa article au mimi ndio sijakuelewa what you meant by saying that Rince is not a reliable source...in this world I dont think there is a fool-proof reliable source of news...
 
Hitler-SS NDO THE BEST KILLING MACHINE....ASK THE MOSSAD I BET THEY KNOW IT BETTER

Uaji wa Hittler na Mossad ni tofauti kabisa...kwa hio utasema na Iddi Amin nae alikuwa ni killing machine kuliko Mossad...Mossad wanatrack enemies wherever they are ilhali Hittler alikuwa more interested in military conquest kuliko covert missions za kua mtu mmoja mmoja...
 
Kusema ni uongo bila kutoa hoja zako au evidence which shows otherwise is even more pathetic...ukitaka kum-discredit mtu jaribu kujitofautisha by going beyond the lazy and overused cliches such as that one above.

Nimekugongea like mkuu!
 
Kusema ni uongo bila kutoa hoja zako au evidence which shows otherwise is even more pathetic...ukitaka kum-discredit mtu jaribu kujitofautisha by going beyond the lazy and overused cliches such as that one above.

Hiki ni kitabu cha fiction kama Ludlum, Frederick Forsythe na kadhalika. Uwezi ku discredit fiction. Wenye kuandika hawakusema ni ukweli na wameweka disclaimer kibao wasije wakabanwa. Wewe pamoja na kucopy ile story umesahau kuweka dislaimer usije kuonekana kwamba wewe ndio mwandishi. Sasa baada ya kubanwa hapa ndio unakimbilia kutoa source na kuji distance. Hata hivyo kwa kuwa ni uhondo mtamu nashukuru kwa kuwa nitakuwa naenda pale kujisomea
 
Hiki ni kitabu cha fiction kama Ludlum, Frederick Forsythe na kadhalika. Uwezi ku discredit fiction. Wenye kuandika hawakusema ni ukweli na wameweka disclaimer kibao wasije wakabanwa. Wewe pamoja na kucopy ile story umesahau kuweka dislaimer usije kuonekana kwamba wewe ndio mwandishi. Sasa baada ya kubanwa hapa ndio unakimbilia kutoa source na kuji distance. Hata hivyo kwa kuwa ni uhondo mtamu nashukuru kwa kuwa nitakuwa naenda pale kujisomea

Kwa hio nisiposema kuwa ni kweli inamaanisha si kweli?Kuna waandishi kibao ambao wanaandika fiction zenye hard facts sema tu ili kukwepa sheria wanasema it is fiction.Unajua hata The Godfather ni fiction lakini ina hard facts...John Le Carre anaandika fiction lakini inajulikana anayoyaandika yametokea na ni facts.unaweza ku-fictionalize wahusika ili kukwepa sheria lakini ukweli unabaki pale pale.
 
  • Thanks
Reactions: CPA
Ndio matatizo yetu Watanganyika,mtu anatoa vitu vya uhakika,mwingine anarukia kusema ni uongo,logically kama mtu kaelezea kitu na wewe unataka kuonyesha kuwa alichosema ni uongo,then inabidi useme ukweli ni upi?useme huyu aliyoyasema ni uongo kwani ukweli naujua ni huu hapa,haipendezi kutoa hoja dhaifu kuwa huyu ni muongo bila kuonyesha uongo wake huko wapi na ukweli huko wapi.

Hii imenikumbusha uchaguzi mkuu uliopita,mgombea kasimama kaeleza wananchi kuwa nipeni kura nikiwa raisi cement iakuwa elfu 5 na bati bei hiyo hiyo,watu wa chama cha Mabwepande wakasimama kidete kuwaambia wananchi kuwa msimpe kura huyo ni Muongo,bati haliwezi kuwa elfu 5 wala cement haiwezi kuwa elfu 5.Lakini wananchi walichotakiwa kufanya ni kumpa kura and then waone uongo wake au ukweli wake,na asipotekeleza uchaguzi mwingine mnamnyima kura kuwa ulitudanganya
 
  • Thanks
Reactions: CPA
Kwa hio nisiposema kuwa ni kweli inamaanisha si kweli?Kuna waandishi kibao ambao wanaandika fiction zenye hard facts sema tu ili kukwepa sheria wanasema it is fiction.Unajua hata The Godfather ni fiction lakini ina hard facts...John Le Carre anaandika fiction lakini inajulikana anayoyaandika yametokea na ni facts.unaweza ku-fictionalize wahusika ili kukwepa sheria lakini ukweli unabaki pale pale.

Ndugu yangu unakumbuka ule usemi unasema "kipenda roho hula nyama mbichi" au "ukimpenda mtu hata mbwa wake utampenda"Sasa watu kama hawa wenye kukataa nyuzi kama hizi wanakuwa na mapenzi makubwa na hao wanaozungumziwa hata kama kuna ukweli ndani yake basi wao hukataa na hawakubaliani na maelezo.Isipokuwa kama maelezo hayo yatakuwa ni ya kusifia hata kiuongo uongo basi utawafurahisha.
 
Eti,hili ndilo shirika la ujasusi lenye uwezo mkubwa kuliko yote ulimwenguni?naskia hata mashambulizi ya sept 11,wao waliwahi kutoa alert kwa CIA cku chache kabla ya shambulio kwamba kuna uwezekano wa magaida kuishambulia new york.
 
I dont think so ingawa inaelezwa sana ushiriki wa Mosad kwenye Sept 11. Marekani wana share mambo mengi sana na Mosad...they can't play such a game and survive.
 
I dont think so ingawa inaelezwa sana ushiriki wa Mosad kwenye Sept 11. Marekani wana share mambo mengi sana na Mosad...they can't play such a game and survive.

Comrade ndahani,,,, hizi conspiracy theories kuna watu huwa wanazipenda sana,,,,

mossad na cia wana code of conduct.., na wanafanya kazi zao with mutual respect to each other,, everyone anamuhitaji mwenzie kwa dhati kabisa kwa usalama wa mataifa yao
 
Comrade ndahani,,,, hizi conspiracy theories kuna watu huwa wanazipenda sana,,,,

mossad na cia wana code of conduct.., na wanafanya kazi zao with mutual respect to each other,, everyone anamuhitaji mwenzie kwa dhati kabisa kwa usalama wa mataifa yao

Tumeacha kujituma kutafuta information za kutosha kabla ya kurukia majawabu...But I salute those 200 Mossad spies...they call themselves, katsas and in most of the places, they operate through jews centres(Sayanism) opened almost throughout the world for information collection.
Hao jamaa bwana....Ushasoma kitabu kinaitwa By way of Deception thou shalt conduct wars?
 
Back
Top Bottom