Mossad na jaribio la mauaji ya Waziri Mkuu, Golda Meir ndani ya Rome

Hongera kwa simulizi nzuri mkubwa, uko sahihi sana! Mi niliisoma hii kwenye kitabu "The Gideon's Spies" kimeandikwa na Gordon Thomas!
Mkuu kama una softcopy ya kitabu hicho naomba ukitupie nikipakue, unapenda sana hizo story
 
waisrael watakuwa wana-apply nadharia iliyomo ktk the law of the jungle:

"when ye fight with a wolf of the pack, ye must fight him alone and afar,
Lest others take part in the quarrel, and the Pack be diminished by war".
YE " ndio nini?
Nyie ndio waleee akina KAOGE
 
YE " ndio nini?
Nyie ndio waleee akina KAOGE
dogo inaonekana kwa 100% lugha ya malkia imekupitia pembeni.

nina hakika wewe ni kilaza wa level ya juu hapa JF.

ngoja nikusaidie kidogo kuhusu maana ya "YE".
usipoelewa niite nije nikutafsirie kwa kiswahili.

"The history of the use of ye is complex. In the earliest period it was used only as the plural subjective form. In the 13th century it came to be used in the singular, equivalent to thou. In the 15th century, when you had become the dominant subjective form, ye came to be used as an objective singular and plural (equivalent to thee and you). Various uses survive in modern dialects".
 
dogo inaonekana kwa 100% lugha ya malkia imekupitia pembeni.

nina hakika wewe ni kilaza wa level ya juu hapa JF.

ngoja nikusaidie kidogo kuhusu maana ya "YE".
usipoelewa niite nije nikutafsirie kwa kiswahili.

"The history of the use of ye is complex. In the earliest period it was used only as the plural subjective form. In the 13th century it came to be used in the singular, equivalent to thou. In the 15th century, when you had become the dominant subjective form, ye came to be used as an objective singular and plural (equivalent to thee and you). Various uses survive in modern dialects".
Hiyo unaijuwa wewe na mwalimu wako aliyekufundisha ujinga.
 
Mkuu kama una softcopy ya kitabu hicho naomba ukitupie nikipakue, unapenda sana hizo story
Kaka kuna jamaa ameweka link ya "pdf" ukitaka kupakua hivyo vitabu kwenye "jamii intelligence"! Uzi wake unaitwa "KIDON, unawajua hawa"? Ingia hapo utaviona, "the gideons spies" na "War of Almagedon"
 
Kaka kuna jamaa ameweka link ya "pdf" ukitaka kupakua hivyo vitabu kwenye "jamii intelligence"! Uzi wake unaitwa "KIDON, unawajua hawa"? Ingia hapo utaviona, "the gideons spies" na "War of Almagedon"
Thax mkuu
 
Israel wamewekeza sana kwenye ishu za security kutokana na kuzungukwa na maadui wengi hasa arabs, ingawa wapo waisrael wengi waarabu.
 
Mossad ni habari nyingine kabisa na Israel survival yake pale middle east ni kwasababu ya super intelligence hebu fikiria kuna mji unaitwa sderot unapakana kabisa na Palestine ukingo wa magharibi huo mji uko Israel sasa serikali ya Israel inawatandikia mabomba kwaajili ya kilimo cha umwagiliaji ili kupunguza unemployment kwa upande wa palestina sasa wao wanachofanya wanayakata Yale mabomba ya kumwagilia nyanaya waliyowekewa na serikali ya Israel wanatengenezea mabom na maroketi wanayarusha tena Israel yakifika Israel pale sderot yanadakwa na iron
Dome kwahiyo yanasababisha.madhara madogo sana Israel ni habari nyingine kabisa
 
Hawa jamaa wanatumia akili nyingi sana aisee Israel, unashindwa kuelewa jamaa wanajua juaje
 
Hawa jamaa wanatumia akili nyingi sana aisee Israel, unashindwa kuelewa jamaa wanajua juaje
 
Mpango huo uliandaliwa na magaidi wa Black September, baada ya kugundua ziara ya Meir kwenda Rome Italia kukutana na Pope Paul VI, January 1973, ziara hiyo ilitayarishwa kwa usiri mkubwa na Serikali ya Israeli. Lakini siri hiyo inashukiwa kuvujishwa na padri wa kipalestina aliyekua kwenye jopo la uongozi ndani ya Vatican.

Kamanda wa Black September aliyejulikana kama Ali Hassan Salameh alipanga kuishambulia ndege ya Waziri Mkuu Meir mara tu baada ya kutua Rome, lengo lake likiwa sio kumuua tu Meir bali mawaziri pamoja na maofisa wa Mossad alioongozana nao.

Wakati huo huo Salameh alikuwa kwenye negotiations na Warusi ili apate sehemu salama ya muda ndani ya Urusi kwa ajili ya hilo shambulizi la Rome, lengo likiwa baada ya shambulizi na wakati Mossad wana recover kutoka kwenye shock wenyewe wangekuwa salama nchini Urusi na mbali ya mikono ya Mossad.

Black September walifanikiwa kuingiza kwa siri baadhi ya shoulder launcher (strela 2 missiles) ndani ya Bahari, Italy, kutokea Dubrovnik, Yugoslavia kwa njia ya boat na baadae zilisafirishwa kwa siri mpaka Rome na kuwekwa pande tofauti katika uwanja wa Fiunicino Airport muda mfupi kabla kuwasili Waziri Mkuu, Golda Meir wa Israel.

Ili kuwachanganya na kuwahamishia akili kwingine, Samaleh alipanga shambulizi la kigaidi kwenye ubalozi wa Israel huko Bangkok, Thailand. Desemba 28, 1972 magaidi wanne wa Black September waliuteka ubalozi huo jijini Bangkok na kushikilia mateka 12 kisha walipandisha bendera ya PLO na kutishia kuua mateka wote endapo madai yao ya kuachiliwa wafungwa 36 wa PLO yasingesikilizwa.

Haraka sana jengo hilo lilizungukwa na askari Jeshi na Polisi wa Thailand, Mpango wa kuwakomboa mateka uliwekwa mezani nchini Israel lakini baadae wakauweka pembeni kwa kuamini kuwa sehemu jengo lilipo ni center na population ni kubwa, kwa Thailand hawatakubali kuwepo kwa kuvamia.

Hata hivyo madai yao hayakukubaliwa na mwisho waliahidiwa kuondoka salama endapo watakubali kuwaachia mateka salama walikubali na walielekea Cairo. Mossad waligundua mpango wa kuuawa Meir January 1973 baada ya mfanyakazi wa simu operator kuwataarifu Mossad kwamba alishughulikia simu zilizopitia kwenye kibanda cha simu cha kulipia(pay phone) katika nyumba ambayo hukaliwa na wanachama wa PLO.

Simu zilikuwa kwa lugha ya kiarabu na ziliongelewa ki msamiati (coded) mpigaji alisema "ni muda wa kuwasilisha mishumaa kwa ajili sherehe ya kuzaliwa" habari hii ilipomfikia mkurugenzi wa Mossad, Zvi Zamir alihisi hilo lilikua ni agizo la siri kwa shambulio lililopangwa kufanywa.

Zamir pia alihisi shambulio la Bangkok lilipangwa kuelekeza attention yao kwingine wakati shambulio likitekelezwa. Hapa aliona mwanga kutokana na magaidi wa Black September wanavyofahamika kwa uwezo wa fedha na mbinu. Alijumlisha moja na moja akatoka na mbili.

Pia ali tafakari kuhusu candles ni aina gari ya silaha baadae akailinganisha na rocket, baada ya tafakari na kuunganisha na tour ya Golda Meir Italy, walikuwa hawana shaka Black September walipanga kuilipua ndege ya Meir pindi itakapotua Rome.

Zamir aliamua kumtuma field officer kwenda Rome, na yeye akachukua team ya Mossad agents na kuelekea Rome. Zamir alikutana na mkuu wa kitengo cha Anti terrorists wa Italy na kumuelezea wasiwasi wake, walielekea kwenye nyumba husika na kuivamia: ile nyumba waliyokuwa wanaishi wanachama wa PLO: waliisachi na walipata menu tu za Kirusi zilizokuwa zinaelekeza jinsi ya kutumia rocket lakini hakukuwa na ushahidi wowote kuhusu mpango unaohusisha mpango wa mauaji ya Meir.

Asubuhi ya kuwasili Meir, Mossad Agents na anti terrorist wa Italy waliuzunguka uwanja wa ndege. Wakati wakiwa kwenye patrol, agent mmoja wa Mossad aliiona fiat van ikiwa imeegeshwa sehemu lakini imeelekezwa kwenye runway ya ndege ndipo alikwenda na kumtaka dereva atoke nje, ghafla mlango wa nyuma ulifunguka na magaidi wawili walitoka na kuanza kumfyatulia risasi agent wa mossad ambae ali side dive na kuwapiga risasi zilizowajeruhi vibaya, wakati huo dereva alichomoka na kukimbia akafukuziwa na agent mwingine, jamaa baada ya kuona hali mbaya akaenda na kusimamisha gari kwa mtutu ili aiteke atokomee, hakujua kwamba alijaribu kuiteka gari ya Mossad iliyokuwa patrol akanaswa kiulaini.

Jamaa alichukuliwa mpaka kwenye lori walilokuwa wanatumia Mossad kama command post yao na kumpa jamaa kipigo heavy mpaka akawaeleza ilipo team ya pili ya missile jamaa waliondoka speed waliiona cafe van sehemu imepaki huku roof yake ikiwa wazi na missile tatu zikionekana kuelekea angani jamaa waliifuata na kuivaa ubavuni na kuipindua na kuwaminya jamaa ndani ya van ili kutoa muelekeo wa missile angani. Dereva na watu waliokuwemo walitolewa wakiwa hawana fahamu, ndipo Italian anti terrorists walipoarifiwa kwamba "kuna ajali ya kuvuta hisia na wangependa kuiona" Zamir alisema baadae kwamba alitaka kuwaua magaidi wote palepale, lakini ingeweka doa kwenye kukutana kati ya Golda Meir na pope paul VI.

Magaidi walipelekwa hospitali, baadae walielekea Libya ndani ya miezi kadhaa wote waliuawa na mossad.
mkuu hapa palinichanganya, je hao magaidi walipelekajwe LIBYA na wakati libya ni nchi ya kiarabu na tena ilikuwa ikiwafadili magaidi?
 
libya ilikua inamsapoti carlos kwa muda huo, baadae wakamtotelea nje kwa sababu sababu zao, nitaleta stoty za boudia mohamed boudia utaelewa.
 
Kaka kuna jamaa ameweka link ya "pdf" ukitaka kupakua hivyo vitabu kwenye "jamii intelligence"! Uzi wake unaitwa "KIDON, unawajua hawa"? Ingia hapo utaviona, "the gideons spies" na "War of Almagedon"
kidon ni wauaji wa hali ya juu"trained killers" hawa huwa wana fanya kazi kwa kusaidiwa na watu waliobobea kwa usafifiri wa pikipiki au gari, halafu kuna ambaye wako tayari wamewatayarishia sehemu yakufikia, kwa hiyo kidon wanawategemea sana timu husika, ikiwamo ya ufuatiliaji wa muhusika na watu wa mawasiliaino.
 
Back
Top Bottom