Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Kulingana na utabiri wa hali ya hewa uliorushwa na TBC1 jana usiku mjini wa Moshi leo utakuwa na joto kali kuliko yote afrika.
Mjini unaofanana na Moshi utakuwa na Niamey,Niger.
Jamani sijui barafu ya mlima kilimanjaro itapona.
Souce:TBC1
Mjini unaofanana na Moshi utakuwa na Niamey,Niger.
Jamani sijui barafu ya mlima kilimanjaro itapona.
Souce:TBC1