Moshi unafuka,Diamond amekataa Lemutuz kurudia wimbo wa "tatizo kwetu Mbagala"

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,426
Mtanzania anayejuana na mabilionea wengi kuliko Mtanzania yoyote yule nchini lakini bado anakaa kwa mshua na hata hajawahi kununua luku amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukataliwa kufanya remix ya wimbo wa "tatizo kwetu Mbagala". Chanzo chetu kinadai jamaa huyo alikuwa ameenda studio kufanya kitu kama remix ya wimbo huo na kuupa jina la "TATIZO KWETU DOWNTOWN" lkn alipocheki na simba huyo alimchomolea na kumshauri awekeze nguvu nyingi Instagram maana upande huo unahitaji akili na kipaji cha hali ya juu.
12353821_909568962424863_2068470092_a.jpg


Tulipouvutia waya uongozi wa Wasafi ulidai gwiji hilo la mitandao ya kijamii ni vigumu sana kutusua kwenye anga za mziki ukizingatia umri unamtupa mkono, "unajua hustle za mziki zinahitaji kama miaka minne ili utoke,sasa kwa sasa hivi King ana miaka 61 na ukiongeza miaka 4,atakuwa na miaka 65,mpaka hapo huwezi kumuita tena ni msanii wa kizazi kipya maana hamna msanii wa kizazi kipya mwenye miaka 50" aliongeza afisa wasanii kutoka huko Usafini.

Tulipompigia simu king simu iliita bila mafanikio

Source : blog ya wanamuziki
 
Le akilibwaz
King of all social media mwenye insta followers chini 200k.
Mzee wa degree 3
Mzee wa kunywa evening tea pale double tree masaki every evening.
Mzee wa kuishi downtown 5 mins from office.. You know.
Brand ambasador wa asasi dairy.
Brand ambasador wa salama condoms.


Le akili kubwaz... Le mutuz...kwani kuna mwenye tatizo huko
 
Le akilibwaz
King of all social media mwenye insta followers chini 200k.
Mzee wa degree 3
Mzee wa kunywa evening tea pale double tree masaki every evening.
Mzee wa kuishi downtown 5 mins from office.. You know.
Brand ambasador wa asasi dairy.
Brand ambasador wa salama condoms.


Le akili kubwaz... Le mutuz...kwani kuna mwenye tatizo huko

Hapa unamzushia, unakuwaje ambassador wa bidhaa usiyotumia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom