Moshi Chini ya CHADEMA: Yajipanga kulipia wanafunzi wa sekondari ada

mozze

Senior Member
Aug 27, 2010
185
28
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi limeanza kazi kwa kufanya mapinduzi makubwa kwenye bajeti yake ikiwamo kupunguza matumizi kwenye mambo yasiyo ya lazima huku ikiazimia kuwalipia ada wanafunzi wote wa shule za sekondari za kutwa.

Matumizi yaliyopunguzwa ni yale ya ofisi ya meya kutoka shilingi milioni 16 zilizotengwa kwenye bajeti ya mwaka 2010/11 hadi shilingi milioni 4.7 kwenye bajeti ya mwaka 2011/12.

Katika bajeti hiyo, kiasi kikubwa cha fedha kimepunguzwa kwenye fungu la chai na vitafunwa kutoka shilingi milioni 10.3 mwaka 2010/11 hadi kufikia milioni 1.8 kwa mwaka 2011/12.

Wanafunzi wa sekondari 8,528 watalipiwa ada ya shilingi 20,000 kila mmoja itakayogharimu halmashauri hiyo kiasi cha shilingi milioni 170.5 huku wazazi wao wakitakiwa kulipia michango mingine ya shule ikiwamo kulipia wapishi, walinzi na huduma nyingine zinazotolewa kwenye shule hizo.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa manispaa hiyo Bernadette Kinabo, alipingana na uamuzi wa madiwani hao juu ya kuwalipia ada wanafunzi kwa madai kuwa inapingana na sera ya serikali inayowataka wazazi kuwalipia wanafunzi wao ada ili wajisikie wana uchungu na elimu ya watoto wao.

Je viongozi kama hawa kweli wapo kwa faida ya Taifa? Kama Halmashauri/nchi inakusanya mapato ya kutosha kwa nini wananchi wake wasifaidike na matunda ya kazi yao? Je kumuacha Mzazi apate uchungu na ugumu wa maisha na kuweka budget yote kwenye Chai na vitafunwa ndio halali ya sera za CCM?
Huyu mkurugenzi anawakilisha mtazamo na mawazo ya aliyemteua, Yani RAIS& Waziri Mkuu na sera zao za CCM.
Watanzania tuamke na kuwaondoa hawa wanyonyaji.

Source: Tanzania Daima
 
Pesa za halmashauri bado ni za wazazi kwani wao ndio walipa kodi!
 
  • Thanks
Reactions: LAT
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi limeanza kazi kwa kufanya mapinduzi makubwa kwenye bajeti yake ikiwamo kupunguza matumizi kwenye mambo yasiyo ya lazima huku ikiazimia kuwalipia ada wanafunzi wote wa shule za sekondari za kutwa.

Matumizi yaliyopunguzwa ni yale ya ofisi ya meya kutoka shilingi milioni 16 zilizotengwa kwenye bajeti ya mwaka 2010/11 hadi shilingi milioni 4.7 kwenye bajeti ya mwaka 2011/12.

Katika bajeti hiyo, kiasi kikubwa cha fedha kimepunguzwa kwenye fungu la chai na vitafunwa kutoka shilingi milioni 10.3 mwaka 2010/11 hadi kufikia milioni 1.8 kwa mwaka 2011/12.

Wanafunzi wa sekondari 8,528 watalipiwa ada ya shilingi 20,000 kila mmoja itakayogharimu halmashauri hiyo kiasi cha shilingi milioni 170.5 huku wazazi wao wakitakiwa kulipia michango mingine ya shule ikiwamo kulipia wapishi, walinzi na huduma nyingine zinazotolewa kwenye shule hizo.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa manispaa hiyo Bernadette Kinabo, alipingana na uamuzi wa madiwani hao juu ya kuwalipia ada wanafunzi kwa madai kuwa inapingana na sera ya serikali inayowataka wazazi kuwalipia wanafunzi wao ada ili wajisikie wana uchungu na elimu ya watoto wao.

Je viongozi kama hawa kweli wapo kwa faida ya Taifa? Kama Halmashauri/nchi inakusanya mapato ya kutosha kwa nini wananchi wake wasifaidike na matunda ya kazi yao? Je kumuacha Mzazi apate uchungu na ugumu wa maisha na kuweka budget yote kwenye Chai na vitafunwa ndio halali ya sera za CCM?
Huyu mkurugenzi anawakilisha mtazamo na mawazo ya aliyemteua, Yani RAIS& Waziri Mkuu na sera zao za CCM.
Watanzania tuamke na kuwaondoa hawa wanyonyaji.

Source: Tanzania Daima

Huyo Mkurugenzi pambafu zake! Anatetea sera za kijinga!! Mbona sera ya kunywa chai na kula vitafunwa kwa zaidi ya sh 10 hakuipinga!! Bravo chadema! Pamoja sana.
 
Hata hivyo, Mkurugenzi wa manispaa hiyo Bernadette Kinabo, alipingana na uamuzi wa madiwani hao juu ya kuwalipia ada wanafunzi kwa madai kuwa inapingana na sera ya serikali inayowataka wazazi kuwalipia wanafunzi wao ada ili wajisikie wana uchungu na elimu ya watoto wao.
Kama ni bogus statement ya mwaka hii ya Mkurugenzi itakuwa moja wapo, wakati wengine wanatafuta njia za kuwapunguzia wazazi na wananchi mzigo wa hali ngumu ya maisha yeye na CCM wanataka kuzidi kuwabebesha wananchi mizigo, kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Ningelikuwa mimi kiongozi wa Chadema ningei generalize hii statement ikawa kama ni statement ya chama kizima cha CCM kwa sababu imesemwa na kiongozi tena wa ngazi ya juu wa chama.

Hongera Chadema pambaneni hadi watu waone clear differences between the two.
 
Bravo Chadema.Huu ndo mwendelezo wa maandalizi ya kuitwaa IKULU 2015.Hivi huyu mkurugenzi hawezi kupigiwa kura ya kutokuwa na Imani naye?Ananiboa sana huyu mbibi.Akalee wajukuu atuachie halmashauri.
 
Ndiyo maana CCM wataendelea kuchukiwa daima, huyo mkurugenzi alipataje hiyo post?
 
Tatizo la huyu mkurugenzi ni siasa na ujinga wa kushindwa kuelewa kwamba halmashauri si yake ni ya Waheshimiwa madiwani, wakiongozwa na mstahiki Meya. Na chama tawala katika halmashauri ndicho kinachotengeneza sera ya namna ya kuendesha halmashauri. Kwa Moshi chama tawala ni CDM, hivyo hana option isipokua kutekeleza tu wanachoamua wenye halmashauri yao. Akumbuke yeye ni mtumishi wa umma tu ambaye kesho anaweza hamishiwa Maswa au Nachingwea, lakini wenye halmashauri watabaki. ....Ningemshauri atekeleze tu hata kama inahatarisha uhai na umaarufu wa "chama chake" ambacho tayari kiko mahututi pamoja na kujivua magamba.
 
Tatizo la huyu mkurugenzi ni siasa na ujinga wa kushindwa kuelewa kwamba halmashauri si yake ni ya Waheshimiwa madiwani, wakiongozwa na mstahiki Meya. Na chama tawala katika halmashauri ndicho kinachotengeneza sera ya namna ya kuendesha halmashauri. Kwa Moshi chama tawala ni CDM, hivyo hana option isipokua kutekeleza tu wanachoamua wenye halmashauri yao. Akumbuke yeye ni mtumishi wa umma tu ambaye kesho anaweza hamishiwa Maswa au Nachingwea, lakini wenye halmashauri watabaki. ....Ningemshauri atekeleze tu hata kama inahatarisha uhai na umaarufu wa "chama chake" ambacho tayari kiko mahututi pamoja na kujivua magamba.
Umesema kitu cha msingi kuwa wenye Halmashauri ni waheshimiwa madiwani ambao kimsingi wengi wao huwa ni wazaliwa wa sehemu husika (ready to be corrected), na ni vigumu kuhamisha udiwani toka halmashauri moja kwenda nyingine kama inavyoweza kufanyika kwa Mkurugenzi. Kwa mantiki hiyo mwenye uchungu na anayeijua halmashauri zaidi ni diwani mkazi wa pale kuliko mkurugenzi.
 
Aisee budget ya chai ya mil 10.3 kwa mwaka ni sawa na zaidi ya laki 8 kwa mwezi au 42,000/= kwa siku (Ada ya watoto 2). Hiyo Ofisi ina wafanya kazi wangapi ambao hutumia that amount per day?

Hongera CDM; mlistahili kuchukua nchi, now l can see ACTIONS loud and clear, sio maneno ya matumaini ya kila siku ya watu waliokulia kwebye Mipasho!
 
Aisee budget ya chai ya mil 10.3 kwa mwaka ni sawa na zaidi ya laki 8 kwa mwezi au 42,000/= kwa siku (Ada ya watoto 2). Hiyo Ofisi ina wafanya kazi wangapi ambao hutumia that amount per day?

Hongera CDM; mlistahili kuchukua nchi, now l can see ACTIONS loud and clear, sio maneno ya matumaini ya kila siku ya watu waliokulia kwenye Mipasho!
 
Aisee budget ya chai ya mil 10.3 kwa mwaka ni sawa na zaidi ya laki 8 kwa mwezi au 42,000/= kwa siku (Ada ya watoto 2). Hiyo Ofisi ina wafanya kazi wangapi ambao hutumia that amount per day?

Hongera CDM; mlistahili kuchukua nchi, now l can see ACTIONS loud and clear, sio maneno ya matumaini ya kila siku ya watu waliokulia kwebye Mipasho!
Chai ya sh. 42,000/= kwa siku hii ni kufuru, na hii ni halmashauri moja zidisha kwa halmashauri sijui ziko ngapi utaona hela inavyotumika vibaya, bado naamini Slaa alikuwa sahihi aliposema serikali ya Chadema ingetoa elimu bure hadi form six.
 
Hicho ndicho kinatakiwa kufanyika katika halmashauri zote zilizopo chini ya Chadema, ili wengine waone mfano wa kuwatumikia wananchi na sio kuwatumia wananchi kama kinavyofanya chama kile kingine.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Viva CDM,Viva Ndesambulo,napenda kutoa Rai yangu kwa madiwani na wabunge wote wa CDM kwamba wanatakiwa kuwajibika kwanza na SANA kwa walio wachagua kuliko kwingne,natoa tahadhari hii kwa maana kwamba miaka5 si mingi na pindi ikiisha hao waliowachagua sasa ndo watakaotakiwa kuwaamini na kuwachagua kwa kipindi kingne cha miaka5...PEOPLE'SSS
 
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi limeanza kazi kwa kufanya mapinduzi makubwa kwenye bajeti yake ikiwamo kupunguza matumizi kwenye mambo yasiyo ya lazima huku ikiazimia kuwalipia ada wanafunzi wote wa shule za sekondari za kutwa.Matumizi yaliyopunguzwa ni yale ya ofisi ya meya kutoka shilingi milioni 16 zilizotengwa kwenye bajeti ya mwaka 2010/11 hadi shilingi milioni 4.7 kwenye bajeti ya mwaka 2011/12.
Katika bajeti hiyo, kiasi kikubwa cha fedha kimepunguzwa kwenye fungu la chai na vitafunwa kutoka shilingi milioni 10.3 mwaka 2010/11 hadi kufikia milioni 1.8 kwa mwaka 2011/12.

Wanafunzi wa sekondari 8,528 watalipiwa ada ya shilingi 20,000 kila mmoja itakayogharimu halmashauri hiyo kiasi cha shilingi milioni 170.5 huku wazazi wao wakitakiwa kulipia michango mingine ya shule ikiwamo kulipia wapishi, walinzi na huduma nyingine zinazotolewa kwenye shule hizo.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa manispaa hiyo Bernadette Kinabo, alipingana na uamuzi wa madiwani hao juu ya kuwalipia ada wanafunzi kwa madai kuwa inapingana na sera ya serikali inayowataka wazazi kuwalipia wanafunzi wao ada ili wajisikie wana uchungu na elimu ya watoto wao.
Source: Tanzania Daima

Sijui yule mzazi asiyeweza kumlipia mtoto ada hana uchungu! Kwanini huyu mama asipongeze hatua za kubana matumizi na kufanya mambo ya maendeleo kama mafanikio. Je serikali za miji (local govern) zinaongozwa na sera za CCM kwa ujumla au sera za chama chenye madaraka mfano chadema.

Mara yingi huwa nasema Chadema taifa ina mapungufu. Kauli kama za huyu mama wangezifanyia kazi ipasavyo hakuna mkurugenzi mwingine ambaye angeleta dhihaka ndani ya halmashauri zao, bahati mbaya unaweza kuona ukimya umetawala na jambo linaisha.

Tumieni nafasi hizi kuonyesha tofauti kati yenu na 'Chatu', waambieni wananchi kwa kutumia mifano, mumepunguza matumizi ya meya, kuondoa vitafunwa, mumeongeza wigo wa kukusanya kodi na sasa mna surplus ya kutoa huduma za jamii kama ada za shule, kwa bahati mbaya mnapigwa vita na mkurugenzi aliyevaa gamba. Come forward and make your case, you have evidence.
Sio suala la ufisadi tu, tumieni nafasi zinazojitokeza kama hizi kujipambanua, haya ndiyo mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja.
Sofia na Wasira wakipiga porojo za maandamano nyie jengeni hoja hizi kwa wananchi, msisubiri hadi miaka 5, hili ni zoezi endelevu.
 
BARAZA la Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi limeanza kazi kwa kufanya mapinduzi makubwa kwenye bajeti yake ikiwamo kupunguza matumizi kwenye mambo yasiyo ya lazima huku ikiazimia kuwalipia ada wanafunzi wote wa shule za sekondari za kutwa.

Matumizi yaliyopunguzwa ni yale ya ofisi ya meya kutoka shilingi milioni 16 zilizotengwa kwenye bajeti ya mwaka 2010/11 hadi shilingi milioni 4.7 kwenye bajeti ya mwaka 2011/12.

Katika bajeti hiyo, kiasi kikubwa cha fedha kimepunguzwa kwenye fungu la chai na vitafunwa kutoka shilingi milioni 10.3 mwaka 2010/11 hadi kufikia milioni 1.8 kwa mwaka 2011/12.

Wanafunzi wa sekondari 8,528 watalipiwa ada ya shilingi 20,000 kila mmoja itakayogharimu halmashauri hiyo kiasi cha shilingi milioni 170.5 huku wazazi wao wakitakiwa kulipia michango mingine ya shule ikiwamo kulipia wapishi, walinzi na huduma nyingine zinazotolewa kwenye shule hizo.

Hata hivyo, Mkurugenzi wa manispaa hiyo Bernadette Kinabo, alipingana na uamuzi wa madiwani hao juu ya kuwalipia ada wanafunzi kwa madai kuwa inapingana na sera ya serikali inayowataka wazazi kuwalipia wanafunzi wao ada ili wajisikie wana uchungu na elimu ya watoto wao.

Je viongozi kama hawa kweli wapo kwa faida ya Taifa? Kama Halmashauri/nchi inakusanya mapato ya kutosha kwa nini wananchi wake wasifaidike na matunda ya kazi yao? Je kumuacha Mzazi apate uchungu na ugumu wa maisha na kuweka budget yote kwenye Chai na vitafunwa ndio halali ya sera za CCM?
Huyu mkurugenzi anawakilisha mtazamo na mawazo ya aliyemteua, Yani RAIS& Waziri Mkuu na sera zao za CCM.
Watanzania tuamke na kuwaondoa hawa wanyonyaji.

Source: Tanzania Daima

viongozi wa aina hi niwauwaji namfananisha na mwindaji ambaye mbwa wake anamkamatia wanyama ikifika mda wa chakula hataki mbwa asogee someni nyakati enyi warafi wa kodi zetu&rasilimali zetu ivi yeye kwanini? Asijivuwe gamba hafai kuwa kiongozi chai anaipa kipau mbele kuliko elimu
 
duh....vitafunwa vya gharama namna hii ni vya aina gani jamani...?
 
.....................Tumieni nafasi hizi kuonyesha tofauti kati yenu na 'Chatu', waambieni wananchi kwa kutumia mifano, mumepunguza matumizi ya meya, kuondoa vitafunwa, mumeongeza wigo wa kukusanya kodi na sasa mna surplus ya kutoa huduma za jamii kama ada za shule, kwa bahati mbaya mnapigwa vita na mkurugenzi aliyevaa gamba. Come forward and make your case, you have evidence.
Sio suala la ufisadi tu, tumieni nafasi zinazojitokeza kama hizi kujipambanua, haya ndiyo mambo yanayowagusa wananchi moja kwa moja.
Sofia na Wasira wakipiga porojo za maandamano nyie jengeni hoja hizi kwa wananchi, ....................

You are absolutely right Mkuu......................kuna sehemu nilisema hawa CDM ni kama sikio la kufa vile..............kuna vitu muhimu sana vinafanywa na CDM vya ku-capitalize na malengo yao..........lakini jamaa utaona wako kimya tu............
 
Back
Top Bottom