Tumaini Makene
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 2,642
- 6,070
Taarifa ambazo nimeweza kuzithibitisha ni kuwa kuna watu watatu wamepigwa risasi, ni risasi za moto. Mmoja amekufa baada ya risasi kumpata kichwani, anaitwa Ally Zona; wengine wawili wamelazwa hospitali ya Mkoa wa Morogoro.
I'll keep u updated wakuu, for anything good or bad...
I'll keep u updated wakuu, for anything good or bad...