Morogoro: Viongozi wa CHADEMA wakamatwa na polisi, vurugu zaibuka!

Taarifa ambazo nimeweza kuzithibitisha ni kuwa kuna watu watatu wamepigwa risasi, ni risasi za moto. Mmoja amekufa baada ya risasi kumpata kichwani, anaitwa Ally Zona; wengine wawili wamelazwa hospitali ya Mkoa wa Morogoro.

I'll keep u updated wakuu, for anything good or bad...
 
Hivi kwa nini huyo mwarabu asiuwawe?
ha ha ha ha mkuu tutumie nguvu ya umma kumuondoa ubunge na kumfilisi mali zake, kwanza anaviwanda vinaharibu mazingira, ila kwakuwa serikali chini ya dhaifu, ndio mfadhili wao mkoani!!
 
Hii tabia ya Polisi kuanzisha vurugu inawafanya watu wawe na hasira na serikali pamoja na vyombo vyake vyote.
 
Nafikir iyo inatokana na mbunge wao hpo morogoro mjini ndo mtoa mashinikizo yote hayo akiogopa kuachia kiti 2015....people power itafanya yake hapo moro town
 
Walichotakiwa polisi ni kuyalinda hayo maandamano sio kutumia nguvu maana kuyatawanya maana kama watu wanaandamana kwa amani wao wanayavunja kwanini?CCM ijue kwamba watu hawataacha kuwachukia kama wao wataendelea kuwatumia hawa washenzi kuumiza wenzao maana wanadhani upinzani na wanachi ni wavamizi wa nchi yao!!!!Kumbe wanapaswa kujua hawa ndio walipa hizo kodi za kununulia mabomu na risasi!Kitaeleweka tuu siku hazigandi bwana!!Mungu wangu ninayekuamini na nakukuomba naomba Uwalaani CCM na Jeshi la polisi,Upanga wako ukae shingoni mwao na kuwadhalilisha kwa kuwakata vichwa vyao bila huruma..
 
Polisi mkoani morogoro wanapiga mabovu ili wanachi wasiandamane kwa mikutano ya M4C. Watu leo wamefurika mbaya moro town wakitaka kuona nini kitazungumzwa na pia kujua hatima ya chama cha magamba mkoani morogoro. wajamen kimenuka moro mapemaaaaaaaaaaaaaaaa!
 
Ama kweli Tz polisi taratibu wanageuka wanasiasa bila kujielewa, maana kuleta fujo sehemu ambayo haina fujo ni kioja, anyway m4C iitawafikia nao muda c mrefu
 
Hawaja Fanya maandamano CDM Bali walikuwa wakienda kupokea uongozi wa kitaifa wameshawapokea viongozi kwa mabomu na sasa mkutano unaendelea uwanja wa ndege hakuna majeruhi wala marehemu inshallah
 
Si shangai kabisa! Ukikumbuka kauli ya Nape lazima ujue nini kinaendelea!

Ccmwabepande kazi wanayo sana!
 
Police walitaka wananchi waende mmoja mmoja kweye mkutano? hawaoni kama watavuruga sensa? hivi dhaifu mbona ana udhaifu wa kufikiri? Huyu RPC vipi?
 
Bila shaka RPC wa hapo ni miongoni mwa wale wanaojipendekeza kwa watawala dhaifu,si huyo huyo alizuia uzinduzi wa M4C usifanyike hapo moro mjini badala yake ukafanyikie mikumi,sasa anataka kutumia mbinu hiyohiyo kuzuia na huo mkutano,hivi kupiga watu na mabomu ambao hawajaleta vulugu kunafaida gani zaidi ya kutumia kodi za wananchi vibaya kununulia hayo mabomu,upuuzi sana huu

Faustine Costantine Shilogile (FACOSHI). Unakumbuka Ihungo kuanzia 1982-1985 wewe ukiwa umetokea wilaya ya Ngara?
 
Mkuu wa mkoa wa Morogoro Mh Joel Bendera ana tabia ya ubabe na kutokubali kuambiwa wala kushindwa. Ni binadamu asiye na utu wala hofu ya mungu. Bila shaka ameruhusu polisi kufanya hayo yanayofanywa. Ninamjua vyema Bendera ni jirani yangu hapa Sinza Makaburini.

Hakuna sababu ya kuzuia maandamano hayo katika jiji la morogoro bali ni ubabe tu. M4C inawapa pressure sana CCM, kweli Chadema mwendo mdundo.
 
inch hata cjui kwa nn nlzaliwa uku.. Nch ipo kiholela holela..haielewk imekuwa ya wa2 wachache wachache, inaendeshwa kshkaj shkaj, 2nashndwa hata kutofautsha serikani na chama?...ktu knacho itwa maengeleo tz 2sahau...kwa hali hii
 
Back
Top Bottom