Timu za soka za Ligi Kuu Moro Utd, African Lyon na Villa Squad ndizo mpaka sasa zimetangaza rasmi nia yao ya kuutumia uwanja wa Chamazi Complex nje kidogo ya jiji, uwanja huo unaomlikiwa na washindani wao wa msimu ujao wa Vodacom PL nchini.Mimi napata shida kuamini kama kweli haki itatendeka dhidi ya timu hizo na mwenyeji wao Azam FC.Nahisi kuna conflict of interest-TFF wameliona hili kweli?