Unatokea wapi? Usijekuwa umeachika kwa mumeo!
Kingtom Nyumbani Park Airport na IPO IPO full masebenekama Sebene Ile bendi iliyokuwa inapiga DDC imesambalatika. Savoy siku hizi hamna kitu labda kule Iringa road kuna Vibendi vya Live lakini uwe makini. sasa wewe TUKO utampeleka wapi huyo dada wa watu au Makuti?
Siku hizi ni Airport,IpoIpo,Nyumbani Park,Kingtom Nyamatandala Mzuanda Downtown nkaah kuna kijiwe kpya kimefunguliwa kinaitwa "Chilakale resort" kpo Bgwa( old Dsm road) nenden mkajionee wadau, kwa Morogoro cjadhan km kuna kijiwe knabmba km hko!
UpdatesSavoy ilisambaratika, but nowadays wameibuka tena mkuu. Anyway, inategemea ni siku gani; Jumapili Mliti wanapiga, J3 Mliti tena, J4, J5 Hunters, Alhamisi Mliti, Ijumaa, J,mosi - Savoy, Kingtom, Kingstone, Makuti, Hunters, Magunila, Mliti, Mzuwanda, Rose Garden kote yapo masebene