golwebo_mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 2,271
- 688
cha asubuhi kinaamsha akili iliyo lala,
You think so! na ambao hawajaolewa au hawajawahi kukutana kimwili akili zao zinalala siku zote?cha asubuhi kinaamsha akili iliyo lala,
Hahahaha...mbavu sina mieNakumbuka nilivokuwa nachoshwa nakuwa na raha tu kila gari nayokutana nayo nawapungia mkono, nakumbuka mengi Kaizer
Vipi limekugusa eeeeHahahaha...mbavu sina mie
Na ubaya wake ni nini King'asti.....<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/happy.gif" border="0" alt="" title="Happy" smilieid="196" class="inlineimg" />
chief,ww hujui ww hujui taabu ya ofisi zenye upungufu wa semina elekezi eeh?majungu yakifika kwa baba nanilii tu ananiachisha kazi na ma-morning glory tena yanakuwa kwishnei.manake alfajiri kufagia banda la kuku na kukamua maziwa nguruwe!
hahahahahaaha pole King'asti...basi nitafanya mpango mmpate semina elekizi ya namna ya kufuta mdomo...<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/A S 103.gif" border="0" alt="" title="A S 103" smilieid="97" class="inlineimg" />
Yes ladies.. Try it.. Nayapenda sana macho yangu the day nikipata chakula cha uzima asubuhi.. Guys try to your partners the problem is baada ya hapo mnatawanyika mnaelekea kwenye majukumu lol...
Hivo eee na wewe unakuwaga hivo? maana kila gari inayopita unapunga mkono, ukiona watoto kwa school bus ndio usiseme unawapungia tu<br />
<br />
Hakika hii inatakiwa iwe quote of the day lol.. It makes me laugh again and again...