mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
nna watoto wa3 bibie mage
Mshikiz...uwanja wa mpira una mita mia kutoga goli moja mpaka jingine. Sasa huyu ana urefu wa mita 165, yaani karibia viwanja viwili vya mpira....dah! Kwa urefu huo na uzito wa kilo 90 lazima atakuwa na kwashakoo ya kunguni.
Jamani naomba niwe tofauti kidogo na hawa wenzangu mtu ametangaza nia tena kwa nia njema kabisa kaweka na vigezo ingawa kidogo keybord imeteleza kwenye urefu lakini cha ajabu tunamkosoa humu jamvini kwa maswali wakati ameshatoa na email yake tuweni wastaarabu wana jamvi na kama wewe humpendi mwanamke wa uzito huo kaa kimya subiri atokee mwenye sifa unazotaka wewe kuna wengine cc.tunapenda sana watu wa uzito huo tuache kuchorana humu jamvini mpaka tuwapoteze wengine wenye nia nzuri na ya kweli
najua mpambano utakuwa mkali ila sio ishu! cha msingi board iwe fair isichakachue, nawaonea huruma ndugu zangu wasio na bahati.Wanajamii leo nimeamua kujitokeza kutangaza nia, nahitaji mume, mimi ni bint nina miaka 28 mnene kidogo 90kg,urefu 165m kitanzania tunasema ninaumbo namba nane na nina mtoto mmoja, nimetokea kaskazini yani (Mchaga pure). Vilevile ni degree holder na ninafanya kazi.
Sifa za ninaemuitaji ni zifuatazo, awe na umri kuanzia miaka 32 - 35, awe ana jali, anatambua utu ni nini, mkweli na anaejiheshimu kwa kifupi awe "Gentleman" . hata kama ana mtoto kama mimi ni vizuri pia.
Kwa mwenye nia tuwasiliane kwa E-mail ifuatayo
mage.carlos@yahoo.com.
Kweli kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza
Wanajamii leo nimeamua kujitokeza kutangaza nia, nahitaji mume, mimi ni bint nina miaka 28 mnene kidogo 90kg,urefu 165m kitanzania tunasema ninaumbo namba nane na nina mtoto mmoja, nimetokea kaskazini yani (Mchaga pure). Vilevile ni degree holder na ninafanya kazi.
Sifa za ninaemuitaji ni zifuatazo, awe na umri kuanzia miaka 32 - 35, awe ana jali, anatambua utu ni nini, mkweli na anaejiheshimu kwa kifupi awe "Gentleman" . hata kama ana mtoto kama mimi ni vizuri pia.
Kwa mwenye nia tuwasiliane kwa E-mail ifuatayo
mage.carlos@yahoo.com.