klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
umeanza kumkera mwalim. ntakufelisha ujuesawa mwalimu ila subiri kidogo, Pms zangu zimeisha kwa sasa.
bek to ze topik: all the best mage
umeanza kumkera mwalim. ntakufelisha ujuesawa mwalimu ila subiri kidogo, Pms zangu zimeisha kwa sasa.
Nilitaka kukuelekeza kwa muhitaji mwingine anaitwa XOXOQY bahati mbaya yeye ni kabila sensitive, Hivyo Mage nikutakie Heri katika safari uliyoianzisha.Wanajamii leo nimeamua kujitokeza kutangaza nia, nahitaji mume, mimi ni bint nina miaka 28 mnene kidogo 90kg,urefu 165m kitanzania tunasema ninaumbo namba nane na nina mtoto mmoja, nimetokea kaskazini yani (Mchaga pure). Vilevile ni degree holder na ninafanya kazi.
Sifa za ninaemuitaji ni zifuatazo, awe na umri kuanzia miaka 32 - 35, awe ana jali, anatambua utu ni nini, mkweli na anaejiheshimu kwa kifupi awe "Gentleman" . hata kama ana mtoto kama mimi ni vizuri pia.
Kwa mwenye nia tuwasiliane kwa E-mail ifuatayo
mage.carlos@yahoo.com.
Hali ya hewa hapa naona c nzuri ngoja nisepe!Halafu wewe ni mwanume unachekaje hivyo kama kiumbea fulani hivi wa paleee mapiapa ya magomeni darisalama. Sory kama nimekuudhi
Home boi ndo kusema hutaki tena Ulanzi? Yaani toka nikuachie Maty basi tena hutaki kujua tena habari zangu!
We tema bigjii kwa karanga za kuonjeshwa then utaona!
Wanajamii leo nimeamua kujitokeza kutangaza nia, nahitaji mume, mimi ni bint nina miaka 28 mnene kidogo 90kg,urefu 165m kitanzania tunasema ninaumbo namba nane na nina mtoto mmoja, nimetokea kaskazini yani (Mchaga pure). Vilevile ni degree holder na ninafanya kazi.
Sifa za ninaemuitaji ni zifuatazo, awe na umri kuanzia miaka 32 - 35, awe ana jali, anatambua utu ni nini, mkweli na anaejiheshimu kwa kifupi awe "Gentleman" . hata kama ana mtoto kama mimi ni vizuri pia.
Kwa mwenye nia tuwasiliane kwa E-mail ifuatayo
mage.carlos@yahoo.com.
Hapo kwenye red punguza kidogo basi halafu uniPM maana katika hali hii naona picha ya mtu mwenye Presha na matatizo mengine ya moyo.,hii ni kiafya zaidi.
mzee ujiandae vyema 90 kg ukiweka na vyaluu naona kama unaenda ku commit-suicide hapo bora ususbiri waje wengine:A S 103:Huo uzito nitakuhimili kweli 90kg???
Mi nina 60kg any way nitavumilia tu mikimiki
duuu jf bwana sijui nimekosea chumba!nimechonga nae ana sauti nzuri hiyo ya kumtoa nyoka! Tumeshindwana kwenye difinisheni ya ujentloman!
Kwani Vp Henge?duuu jf bwana sijui nimekosea chumba!
Haswaaa we andaa mchango wa harusi
Wanajamii leo nimeamua kujitokeza kutangaza nia, nahitaji mume, mimi ni bint nina miaka 28 mnene kidogo 90kg,urefu 165m kitanzania tunasema ninaumbo namba nane na nina mtoto mmoja, nimetokea kaskazini yani (Mchaga pure). Vilevile ni degree holder na ninafanya kazi.
Sifa za ninaemuitaji ni zifuatazo, awe na umri kuanzia miaka 32 - 35, awe ana jali, anatambua utu ni nini, mkweli na anaejiheshimu kwa kifupi awe "Gentleman" . hata kama ana mtoto kama mimi ni vizuri pia.
Kwa mwenye nia tuwasiliane kwa E-mail ifuatayo
mage.carlos@yahoo.com.
Halafu wewe ni mwanume unachekaje hivyo kama kiumbea fulani hivi wa paleee mapiapa ya magomeni darisalama. Sory kama nimekuudhi
Hommie kwahiyo anaweza kumtoa nyoka wako pangoni???Nimechonga nae ana Sauti Nzuri hiyo ya kumtoa nyoka! Tumeshindwana kwenye difinisheni ya ujentloman!
Hommie tunataka ku-fabricateHali ya hewa hapa naona c nzuri ngoja nisepe!
Uliwahi kuolewa? Hili swali la msingi.....halafu ungeeleza umechukua hatua gani kupunguza uzito! 90Kg sio mchezo.