Magreth
Kwanza napenda kukupongeza kwa kutokuwa mbaguzi kwenye swala la dini na dhehebu, umetupa nafasi wote wanaume wenye mapenzi ya dhati.
Sasa mimi ni Muislam na nina miaka 36 na nina watoto watatu na mke mmoja, lakini ninataka kuoa mke mwingine na ningependa awe mchaga pure kama wewe na sifa zako zote mimi hewala.
Je unasemaje mama...
Matoto ya kaskazini huko huwa yanakuwa yamewiva kama mapindigesi mweh Mungu anipe nini gunia la chawa nijikune mwaka mzima?
...Hili mkuu ni VX V8 aisee....Lol!Hahaha turbo machine ya freelander, GX v8 au VX v8
Ngoja watu waingie kichwa kichwaTatizo huyu Mdada sijui Mmama kaingia mitini wakati stl namuinjinia!!
Arudi kwanza janvini ili a2pe detailz zaid!!!
Huo uzito nitakuhimili kweli 90kg???
Mi nina 60kg any way nitavumilia tu mikimiki
Ha ha haaa mkuu siku zote mambo mazuri hayapatikani kirahisi.... lazima wanoko wataingilia kati tu!!!! Wewe tia bidii, mke wako huyo!!!:coffee:Wanoko mmesha anza kubana ridhiki za watu, wapi nilisema lete ushahidi
naomba unitumie PM niangalie kama PM yangu iko sawa au ina matatizo. sore ofutopickhaaa!
Hamkosi sababu.
Home boi ndo kusema hutaki tena Ulanzi? Yaani toka nikuachie Maty basi tena hutaki kujua tena habari zangu!......mi nina picha yake tayari.......!ha!ha!ha!ha! wapi mzee ya TOLEKA!
...Hili mkuu ni VX V8 aisee....Lol!
Ha ha haaa, ndio dunia H... wakitumiwa cv wanaichambua wasipotumiwa wanaiomba :twitch:khaaa!
Hamkosi sababu.
Kamanda naona na we upo mdogomdogo sio! Hebu mulizie kama atajisikia vibaya ukimpeleka Kempisky!naomba unitumie PM niangalie kama PM yangu iko sawa au ina matatizo. sore ofutopic
naomba unitumie PM niangalie kama PM yangu iko sawa au ina matatizo. sore ofutopic
Ngoja watu waingie kichwa kichwa
Ha ha haaa, ndio dunia H... wakitumiwa cv wanaichambua wasipotumiwa wanaiomba :twitch:
Ha ha haaa, ndio dunia H... wakitumiwa cv wanaichambua wasipotumiwa wanaiomba :twitch:
hehehe dah! kamanda kimey bana. hiyo ni non refusable offer kwa jinsia ya upinzani, iko kwenye DNA yako kabisa yaani.Kamanda naona na we upo mdogomdogo sio! Hebu mulizie kama atajisikia vibaya ukimpeleka Kempisky!
Kheee Kheee kwani maandishi yanaongea??? Mimi huwa sili BAN infact mimi ndio natoa BAN so be careful
Nimechonga nae ana Sauti Nzuri hiyo ya kumtoa nyoka! Tumeshindwana kwenye difinisheni ya ujentloman!Ngoja watu waingie kichwa kichwa