Fatma Bawazir
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 492
- 180
jamni jamani jamani jamani kumbukeni speed ya mtandao wowote inategemea na location unaweza ukanunua mordem ya tigo na kifurushi cha standard month internet na download speed usipate hata 600kbps na mwenzako anapata mpaka 2.5mbps na ukaweka voda bomba7 ukapata download peed mpaka 2.5mbps na mwenzako asipate hata 500kbps hizi network za 3g zimekuwa kama kamari mimi nilichukua mordem ya tigo nikajiunga na kifurushi cha standard month internet nikawa ninapata download speed ya dash bord 500kbps up to 600kbps haizidi zaidi ya hapo nikachukua ya vodacom nikajiunga na bomba7 sasa ninapata download speed 2.5mbps na ninapotoka chumbani nikiwa sitting room napata download speed 1.5mbps haizidi kwahiyo wana jf speed ya 3g inategemea na location unaweza ukasikia tigo kiboko ukakimbilia tigo kumbe location yako inafaa voda na unaweza kusikia voda ndio kiboko kumbe location yako tigo ndio inafaa au sasatel au airtel swala hili limeumiza watu vicha sana hilo lazima mlijue kama hapa bongo 3g bado ni kama kamari kuna kupata na kukosa