Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
haiathiri chochote ni mbwembwe tu hizokweli aisee..je huwa haimuathiri KIJACHO?
haiathiri chochote ni mbwembwe tu hizokweli aisee..je huwa haimuathiri KIJACHO?
Pole mkuuhahaaha si bora hiyo cha mtoto, kuliko unakuta bibie hataki hata umsogelee wala umhug,huku anakutema mate anakuambia unanuka.:A S angel:
kuna harufu zao wanazipenda..wewe pita kule gymkhana a coco beach utawaona wanapunga hewa
kongosho naona wewe ulikuwa gwiji wa pregnancy anger
hahahahaaa hii kibokoPole mkuu
kuna harufu zao wanazipenda..wewe pita kule gymkhana a coco beach utawaona wanapunga hewa
kweli deki na kufua muhimu maana kile kitumbo inakuwa vigumu kuzifanya..lakini naona huwa ni tofauti kwa mtu na mtu
Embu shughulika huko. Unadhani kubeba mimba miezi tisa mchezo ehhhhh? Ile ni zaidi ya kazi na hicho unachotakiwa wewe kumfanyia mwenzio hakifikii hata 1/10 ya anachofanya yeye so stop complaining and make her happy.[/
QUOTE]
Lizzy...wala hayupo mwenye hali hiyo na kunihusu? nimeuliza ili kushare niyajuayo na yaliowakumba wengine na kwa faida ya wasiolijua hilo
husninyo hebu tupe maexperience ya hicho kipindi...
mi mwenzio nilikuwa namtuma mme wangu sa tano za usiku akaniletee soda ya kempiski. Nilikuwa staki soda ya duka lolote. Tuvumilieni tu jamani.
Mwajuma kwa fiksi.....
hehehehe! Nikaushie basi.