King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,644
- 68,593
Nikicheki video yake ya mwaka 1995(Don't take it personal-Just one of dem days) wakati ana miaka 15 na Hii ya sasa hivi aliyoitoa Sept 27 2011(Until its gone,akiwa na miaka 32) naona yupo vile vile,anamaintain sana mwili wake.Nini siri kwa wanaojua nataka nimuelekeze demu wangu abaki naye hivi hivi.
Nawasilisha.
Mwaka 1998:
Mwaka 2002:
Mwaka 2011:
Mwaka 2012:
Nawasilisha.
Mwaka 1998:
Mwaka 2002:
Mwaka 2011:
Mwaka 2012: