Monica Arnold huyu dada hazeeki kabisa!!!

King Kong III

JF-Expert Member
Oct 15, 2010
51,644
68,593
Nikicheki video yake ya mwaka 1995(Don't take it personal-Just one of dem days) wakati ana miaka 15 na Hii ya sasa hivi aliyoitoa Sept 27 2011(Until its gone,akiwa na miaka 32) naona yupo vile vile,anamaintain sana mwili wake.Nini siri kwa wanaojua nataka nimuelekeze demu wangu abaki naye hivi hivi.

Nawasilisha.

Mwaka 1998:
MN1--98.PNG
MN1--98.PNG


Mwaka 2002:
Monica-monica-24207724-600-744.jpg


Mwaka 2011:
mn4--2011.PNG
mn4--2011.PNG


Mwaka 2012:
best monica-2012.JPG
best monica-2012.JPG


monica2012.PNG
monica2012.PNG
 
Monica kazaliwa 1980!

Bado ana safari ndefu sana kuelekea uzeeni. Tena na vile yuko majuu akila bata na mbatata, ndiyo kabisa atazidi kunawiri kama shina la mgomba!

Angekuwa ni mla vumbi kama kina Ray C basi tungekuwa tunaongea mengine sasa hivi.
 
Monica kazaliwa 1980!

Bado ana safari ndefu sana kuelekea uzeeni. Tena na vile yuko majuu akila bata na mbatata, ndiyo kabisa atazidi kunawiri kama shina la mgomba!

Angekuwa ni mla vumbi kama kina Ray C basi tungekuwa tunaongea mengine sasa hivi.

Yes amezaliwa 1980,lakini ukicheck mwili wake alivykua ana miaka 15 na sasa ana miaka 32 yani tofauti ni ndogo sana! Mtoto bado mbichi even thou ana watoto wawili.
 
Nikicheki video yake ya mwaka 1995(Don't take it personal-Just one of dem days) wakati ana miaka 15 na Hii ya sasa hivi aliyoitoa Sept 27 2011(Until its gone,akiwa na miaka 32) naona yupo vile vile,anamaintain sana mwili wake.Nini siri kwa wanaojua nataka nimuelekeze demu wangu abaki naye hivi hivi.


Lengo lako nadhani ni kusema hajabadilika sana na sio kwamba hazeeki coz miaka 32 bado sio umri wa kuitwa mzee jamani...
 
Yes amezaliwa 1980,lakini ukicheck mwili wake alivykua ana miaka 15 na sasa ana miaka 32 yani tofauti ni ndogo sana! Mtoto bado mbichi even thou ana watoto wawili.

Genetics, genetics, genetics. Couple that with a good life you get a forever young looking lady.
 
For god sake you are comparing when she was teenager and now and adult with just 15years old age difference! Wait another 15 years for proper comparison with her current age.


Another thing is just matter of taking care of oneself, hata wewe utakuwa bomba in another 20 years time.
 
Lengo lako nadhani ni kusema hajabadilika sana na sio kwamba hazeeki coz miaka 32 bado sio umri wa kuitwa mzee jamani...

Ni kweli uyasemayo,pia si umeona kuna wengine watoto lkn ukiwacheck washazeeka we mcheck Rueben sorry 2004 na huku bongo mtoto mdogo wa miaka 25 ukimcheck kama mzee!!!
 
Nikicheki video yake ya mwaka 1995(Don't take it personal-Just one of dem days) wakati ana miaka 15 na Hii ya sasa hivi aliyoitoa Sept 27 2011(Until its gone,akiwa na miaka 32) naona yupo vile vile,anamaintain sana mwili wake.Nini siri kwa wanaojua nataka nimuelekeze demu wangu abaki naye hivi hivi.

Nawasilisha.
Weka picha arifu......tulinganishe......bila picha sikubaliani na wewe....

mifano kama hii
Ray c kushoto enzi zake...
zilipendwa.jpg

hapo alikuwa kabichi bichi kanatangaza Dr beat klauzi.....kati kati ni lady jay dee na kulia ni masudi kipanya...

b5_ray1.jpg

miaka ikaenda kabinti ray c kakawa kazuri kweli kweli hapo alikuwa hajaanza kunywa safari beer na kuvuta bangi kwa wingi....
starabc3.jpg


ray c kulia....hapo ni pombe miksa bangi..
 
Nikicheki video yake ya mwaka 1995(Don't take it personal-Just one of dem days) wakati ana miaka 15 na Hii ya sasa hivi aliyoitoa Sept 27 2011(Until its gone,akiwa na miaka 32) naona yupo vile vile,anamaintain sana mwili wake.Nini siri kwa wanaojua nataka nimuelekeze demu wangu abaki naye hivi hivi.

Nawasilisha.

Kuna wa2 wanachelewa kuzeeka hapo unakuta ndo yuko kwenye adolesenc
 
Back
Top Bottom