Juzi nimeshuhudia Mgonjwa anayekaa Mongola Ndege Jirani na Hospitali akitaabika Kupata Huduma ya Kwanza, Huku Hospitali iliyo Jengwa na Serikali na imekamilika ipo na haijaanza kutumika mpaka sasa, toka nihamie eneo hili huu sasa MWAKA MZIMA, Hatuoni chochote kinachoendelea.
Taarifa tulizo nazo ni kwamba kuna Madaktari tayari wameshahamishiwa hapa wapo mtaani wanakula Good time.
Hatuoni hata kiongozi akipita hapa kutuambia what next;
Wakati wa uchaguzi tuliambiwa within one month itafunguliwa mpaka leo
Tunapata shida sana!!
Wadau mtusaidie
Taarifa tulizo nazo ni kwamba kuna Madaktari tayari wameshahamishiwa hapa wapo mtaani wanakula Good time.
Hatuoni hata kiongozi akipita hapa kutuambia what next;
Wakati wa uchaguzi tuliambiwa within one month itafunguliwa mpaka leo
Tunapata shida sana!!
Wadau mtusaidie