andrewk
JF-Expert Member
- Apr 13, 2010
- 3,102
- 488
makamba alisema, kama wewe ni mbeba zenge na mwanao atalisi kazi hiyo hiyo, wao wanasiasa, watoto wao watalithi nafasi zao katika chama na serikari.... hapo sasa
Yaani kila penye ulaji ni watoto wa vigogo siyo? Nimesoma leo jinsi Tanroad ilivyokuwa chaka la watoto wa vigogo kutuibia. Hapa hujaenda BoT au kwenye balozi zetu nje, bandari, uhamiaji, TRA. Mwe! Twesha!