CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Habari wana JF.
Napenda kujua kama hi pump ya maji aina ya"MONEY MAKER PUMP"kama inaweza kunisaidia kwa kilimo cha bustani maeneo ya MOROGORO bush?ninampango wa kulima hk 10 za nyanya,matango na mahindi kwa ajiri ya kuyauza yakiwa mabichi.
Naombeni ushauri tafadhari.
Mkuu malila kama upo jirani msaada tafadhari,maana nina imani na wewe.
Napenda kujua kama hi pump ya maji aina ya"MONEY MAKER PUMP"kama inaweza kunisaidia kwa kilimo cha bustani maeneo ya MOROGORO bush?ninampango wa kulima hk 10 za nyanya,matango na mahindi kwa ajiri ya kuyauza yakiwa mabichi.
Naombeni ushauri tafadhari.
Mkuu malila kama upo jirani msaada tafadhari,maana nina imani na wewe.