Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Haya ndio aloyasema, Let me clear the air ni hivi, pamoja na ujinga tulioufanya mimi na George katika maisha yetu, kwa macho ya kibinadamu utasema alikuwa na mke mwengine but kwa macho ya kimungu mimi ni mke halali wa George Otieno Okumu aliyelala.
Anayesema mke wa tyson alijifungia ndani mimi nikawa nachukua pole zisizo zangu, dah! Kwanza wanawake walikuwa wawili ndani sio mmoja na wote walijifungia ndani.
Kwanini? ni wakristo na wanaijua dini waombolezaji waliokuwa wakinipa pole mimi,ni kwanini? jiulize kabla ya kuropoka halafu wewe ni mwanamke kuna siku yatakukuta.
Nilienda kutimiza wajibu wangu kama mke, ningelia peke yangu kwetu mngenisema sana, nimekaa msibani naambiwa nachukuwa pole za bure wacha nikukumbushe maandiko.
Alichokiunganisha Mungu?....;kilichofungwa duniani?.....;nikupende,nikutunze hadi kifo?..... sasa kifo kimetutenganisha siku ya mwisho unadhani George ataitwa na nani?
Pamoja na mambo yake yote wacheni nimlilie he was a good father kwa Sonia wangu especially miaka 5 ya mwisho wa uhai wake, acheni nimlilie he was my best friend 1998-2014.
Nimeshare nae kitanda 2000-2006. Nitakuwa mtu wa aina gani nisiwe na uchungu, ukiona mwanamke mwenzio kaishindwa ndoa usimcheke jua kuna sababu.
Na ni fundisho kwa wachukua waume za watu wote mjini, mume akiumwa huwa anarudi kwa mkewe, na akifa? and for ur info msianze anajifanya mke sasa hivi ili apewe mali.
Sonia ni mali kubwa sana alioniachia am so happy. Waaache wao wanaolilia kupewa pole wapiganie, mwenyewe aliyetafuta kafa kaziacha sembuse tuliobaki? niacheni nimlilie, waacheni fans wangu walie na mimi".
My take: haina haja ya kujibu kila kinachojadiliwa na walimwengu. Unasema haya ili tujue marehemu mlipendana sana au?
All in all mioyo yenu ndio inajua kipi ni kipi kuhusu mapenzi yenu.
okay Bayiiii
Anayesema mke wa tyson alijifungia ndani mimi nikawa nachukua pole zisizo zangu, dah! Kwanza wanawake walikuwa wawili ndani sio mmoja na wote walijifungia ndani.
Kwanini? ni wakristo na wanaijua dini waombolezaji waliokuwa wakinipa pole mimi,ni kwanini? jiulize kabla ya kuropoka halafu wewe ni mwanamke kuna siku yatakukuta.
Nilienda kutimiza wajibu wangu kama mke, ningelia peke yangu kwetu mngenisema sana, nimekaa msibani naambiwa nachukuwa pole za bure wacha nikukumbushe maandiko.
Alichokiunganisha Mungu?....;kilichofungwa duniani?.....;nikupende,nikutunze hadi kifo?..... sasa kifo kimetutenganisha siku ya mwisho unadhani George ataitwa na nani?
Pamoja na mambo yake yote wacheni nimlilie he was a good father kwa Sonia wangu especially miaka 5 ya mwisho wa uhai wake, acheni nimlilie he was my best friend 1998-2014.
Nimeshare nae kitanda 2000-2006. Nitakuwa mtu wa aina gani nisiwe na uchungu, ukiona mwanamke mwenzio kaishindwa ndoa usimcheke jua kuna sababu.
Na ni fundisho kwa wachukua waume za watu wote mjini, mume akiumwa huwa anarudi kwa mkewe, na akifa? and for ur info msianze anajifanya mke sasa hivi ili apewe mali.
Sonia ni mali kubwa sana alioniachia am so happy. Waaache wao wanaolilia kupewa pole wapiganie, mwenyewe aliyetafuta kafa kaziacha sembuse tuliobaki? niacheni nimlilie, waacheni fans wangu walie na mimi".
My take: haina haja ya kujibu kila kinachojadiliwa na walimwengu. Unasema haya ili tujue marehemu mlipendana sana au?
All in all mioyo yenu ndio inajua kipi ni kipi kuhusu mapenzi yenu.
okay Bayiiii