Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,288
- Thread starter
- #41
Mmmhh wajue tu wanasafari ndefu sana, hvyo waandae vizazi vya kutosha kusafiri! Kudai nchi haijawahi kuwa rahisi,
serikali za kiafrika zinachochea haya mambo kwa implementation ya sera za maendeleo kiubaguzi.
Hivyo siwazi walaumu hao watu ila kama tu hizo harakati zao hazina mkono wa nje (kitu ambacho sio rahisi).
point noted.
Serikali za kiAfrika zimeyataka haya,
mfano ni jinsi mikoa ya kusini ya Tanganyika ilivyokuwa nyuma kimaendeleo pamoja na kuwa na rasilimali zote.
Mfano wa ujinga wa karibuni ni huo mradi wa bomba la gesi kutoka sijui ni Ntwara vile, mpaka Dar es salaam, kwanini power plant isijengwe kule, halafu umeme ukaingizwa mu-gridi ya taifa.
Ujinga tu!