Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiirrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
Kundi la Mombasa linalotaka kujitenga na kuwa nchi kamili.
Tayari kundi lina rais na baraza la mawaziri ambao wapo tayari kuendesha hiyo "nchi" yao. Kundi hili limekuwa na ajenda ya kujitenga na kutengeneza jamhuri ya Mombasa toka mwaka 1999!
Wanadai wamekuwa chini ya utawala wa Kenya,utawala ambao umewasahau na hauwatendei haki.
Baadhi ya viongozi wa dini zote, wakristo na waislamu huko Mombasa wanaonekana kuliunga mkono kundi hilo. Ingawa serikali ya Kenya imeliita kundi hilo ni haramu,tena ni la kuogopwa zaidi ya Al-Shaabab.
Nasikia harufu ya udini mkali sana hapa. Kwani walio kwenye harakati hizi wengi ni waislamu. Na sasa hali imekuwa mbaya kwa kundi hili kuonekana kuwa TISHIO zaidi ya Al-Shaabab!
Mh! Yangu macho.
Source: Citizen-Nipashe.
Pole Sana, ninyi ndo akina
Laisha laisha lakra :mad2::mad2::mad2::mad2:!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:target::target::target::target:Lol!
I am from the Coast and this is a small group that is concentrated in Kwale and funded by rich Arab merchants from Mombasa. They are less than 1000 individuals and 99% of the residents of the Coast province are against this group.
This is not the first or even the best organized secessionist movement in Kenya. Only 2 years ago a well funded and armed Sabaot Land Defence Force were brandishing their guns and rulling the forests of Mt. Elgon. Today, they have taken up farming.
Why you may ask? GSU!
The shiftahs met them, the SLDF and the MRC are not even worthy of the forgiveness offered by the bullets of the GSU.