Mombasa Republican Council - kikundi kinachotaka kuwa nchi!

parliament supported the president too. I dont care what happens in zanzibar but its worth noting no uprising succeeds where the Kenyan elite has been deployed, dont think MRC will be any different.
 
ukishakuwa na culture za kiarabu..ni zaid ya utumwa kwenye maisha yako
hawa watu wa pwani watakuwa na matatzo ya akili
 
Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiirrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr

Pole Sana, ninyi ndo akina
Laisha laisha lakra :mad2::mad2::mad2::mad2:!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:target::target::target::target:Lol!
 
Mijikenda,waswahili,wadigo are caught between a rock and hard place. Absentee landlords on onehand and land grabbers on the other hand.
 
Kundi la Mombasa linalotaka kujitenga na kuwa nchi kamili.
Tayari kundi lina rais na baraza la mawaziri ambao wapo tayari kuendesha hiyo "nchi" yao. Kundi hili limekuwa na ajenda ya kujitenga na kutengeneza jamhuri ya Mombasa toka mwaka 1999!
Wanadai wamekuwa chini ya utawala wa Kenya,utawala ambao umewasahau na hauwatendei haki.

Baadhi ya viongozi wa dini zote, wakristo na waislamu huko Mombasa wanaonekana kuliunga mkono kundi hilo. Ingawa serikali ya Kenya imeliita kundi hilo ni haramu,tena ni la kuogopwa zaidi ya Al-Shaabab.

Nasikia harufu ya udini mkali sana hapa. Kwani walio kwenye harakati hizi wengi ni waislamu. Na sasa hali imekuwa mbaya kwa kundi hili kuonekana kuwa TISHIO zaidi ya Al-Shaabab!
Mh! Yangu macho.
Source: Citizen-Nipashe.

siku zote waislam ni watu wa kujitenga katika mambo yote, hata msahafu unaowaasa kuwaheshim na kuishi kama wanavyoishi waliopokea kitabu kabla yao wanaudharau. sishangai, kwani wao wamelelewa kuamini wanaonewa tu
 
Pole Sana, ninyi ndo akina
Laisha laisha lakra :mad2::mad2::mad2::mad2:!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:target::target::target::target:Lol!

Takbiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiirrrrrrrrrrrrr rrrrrrrr
 
Mombasa is my hometown and the group you are putting on a pedestal is a small group that is concentrated around Kwale with financial backing from wealthy Arabs who think it is the 12th century.
 
I am from the Coast and this is a small group that is concentrated in Kwale and funded by rich Arab merchants from Mombasa. They are less than 1000 individuals and 99% of the residents of the Coast province are against this group.

This is not the first or even the best organized secessionist movement in Kenya. Only 2 years ago a well funded and armed Sabaot Land Defence Force were brandishing their guns and rulling the forests of Mt. Elgon. Today, they have taken up farming.
lol.gif


Why you may ask? GSU!

The shiftahs met them, the SLDF and the MRC are not even worthy of the forgiveness offered by the bullets of the GSU.
 
I am from the Coast and this is a small group that is concentrated in Kwale and funded by rich Arab merchants from Mombasa. They are less than 1000 individuals and 99% of the residents of the Coast province are against this group.

This is not the first or even the best organized secessionist movement in Kenya. Only 2 years ago a well funded and armed Sabaot Land Defence Force were brandishing their guns and rulling the forests of Mt. Elgon. Today, they have taken up farming.
lol.gif


Why you may ask? GSU!

The shiftahs met them, the SLDF and the MRC are not even worthy of the forgiveness offered by the bullets of the GSU.

hehehe........you have actually reminded me of the shiftas in 68' after a period of unrest and calls for sesession, they gladly returned to nomadism. Though point to note, the SLDF was quelled by a combination of kenya police and the KAF.
 
Mbunge wa Msambweni kaunti ya Kwale Omar Mbwana Zonga awambia washirika wa kundi haramu la MRC kutengua pwani ya kenya ni ndoto na wafikirie kuhusu maendeleo:A S 41:

Source Attend banned group
 
leaders have distanced themselves from proscribed group, but have urged govt to address their issues.
 
Back
Top Bottom