Mombasa Republican Council - kikundi kinachotaka kuwa nchi!

Nadhani wapew chao wajiendeshe watakavyo sio kubanwa na watu wenye mlengo tofauti na wenu ifikie sehemu mwanadam apewe uhuru wa kutosha kuamua akitakacho mladi hafanyi madhara kwa asiyehusika
 
Hii tabia yao ya mimi ni mkikuyu yule mluya,huyu ni mkisi, yule mtende ndio msiba wao!!! waache viumanee,tukiona wametosha tunaenda kuchapa wote viboko!!kama tulivyokwenda baada ya vifo vyao wao kwa wao 1000.
 
kabsar.... Mayb theyl understand why GSU are also referred to as 'Garrisson Support Unit'....hata hivyo askari tawala are quite a potent outfit considering they are a paramilitary force and the first line of defence before military mobilisation. MRC sijui wana shida gani na watajutia haya.

I feel you hapo kwenye green. Askari tawala are less potent than their subsidiary RDU, lakini shida hizi zote zaanzia pale Kibokoni. MRC paymasters must be flushed out from there.
 
hahaha....MRC wana haki? Yawa, somebody explain how a 16 km coastal strip equates to the entire Coast Province......am so waiting for there movements. Hivi ndo mlifanywa na zanzibar? Ole wenu, mtangamua mbona SLDF na mungiki waliyeyuka. A country has the responsilibity within its power to preserve its territorial integrity (NB:everything intl law not withstanding). Fill in the blanks......
 
the govt sole purpose in any form of administration is to create colleges, if you choose to learn its your choice, 'community incentive'. The govt is tasked with creating proper macro economic environment and opportunities, are the same not available at the coast? Lets look at infrastructure, has the govt not invested in the area, look at security....a military installation and also a working security mechanism, look at health...many hospital, transport and communication (full fledged intl airport, a port), leisure and entertainment facilities.......now counterbalance what MRC are saying. They are stupid and no apologies for that. Its a group that holds a country at ransom, look at its leaders. If they wanted independence its for an 'illegitimate 16km strip' through and through. The C~i~C has spoken and its a done matter. As i said watch this space. Eliakeem, support Zanzibar but MRC scrap it out...they are a done movement.

Kwanza kwenye red hapo..... punguza jazba... usiwaite hivyo wananchi wenzako...
Let's drop down prejudice....

If you analyze things in all elevations...... they have real genuine grievances..... what you mentioned about...i.e school, hospitals, roads etc.....exist in Mombasa but not in magnitude and quality like in Nairobi.....

Livefire... umewahi fika sehemu inaitwa magarini..... you can't imagine if the living being can survive in such place..... ni maafa.... halafu unasema eti serikali imewekeza......

Na nakumbuka kuna siku nilisema hapa JF, kenya lazima itatafunwa na class struggle... unequal distribution of the National cake will lead to socio-economic unrest. Kuna watu lazima serikali iwe na delibarate policy kuwasaidia..... sio kila mmoja anaweza kujiendeleza mwenyewe..... sasa kama muda wote serikali haiwasaidii..... kitakuja kizazi ambacho kitaona uonevu waliofanyiwa wazee wao na ambao pia wanafanyiwa wao.... hawatakubali kuonewa kama wazazi wao..... hatimaye wataanza kujitetea kwa njia zozote zile..... kama MRC wanavyofanya.....

Kenya isikatae imekuwa ikiwadhulumu watu wa pwani kwa muda mrefu....na MRC wanajiita ni wakombozi..

 
the govt sole purpose in any form of administration is to create colleges, if you choose to learn its your choice, 'community incentive'. The govt is tasked with creating proper macro economic environment and opportunities, are the same not available at the coast? Lets look at infrastructure, has the govt not invested in the area, look at security....a military installation and also a working security mechanism, look at health...many hospital, transport and communication (full fledged intl airport, a port), leisure and entertainment facilities.......now counterbalance what MRC are saying. They are stupid and no apologies for that. Its a group that holds a country at ransom, look at its leaders. If they wanted independence its for an 'illegitimate 16km strip' through and through. The C~i~C has spoken and its a done matter. As i said watch this space. support Zanzibar but MRC scrap it out...they are a done movement.

There is a big difference between coast province and zanzibar, one is an island and the other is mainland.
 
nafikiri ni bora hawa jamaa wa mombasa hadi lamu wachukue nchi yao. kwanza maendeleo mengi yamefanyika nairobi na sio kwao...wametengwa na kubaguliwa wakati wao ndo wana access bahari zaidi kuliko hata landlocked nirobi....nasapoti hiki kikundi.
 
nafikiri ni bora hawa jamaa wa mombasa hadi lamu wachukue nchi yao. kwanza maendeleo mengi yamefanyika nairobi na sio kwao...wametengwa na kubaguliwa wakati wao ndo wana access bahari zaidi kuliko hata landlocked nirobi....nasapoti hiki kikundi.

Hivi unavosema ubaguzi umo katika kuleta maendeleo, ni kwa nini hawa hawakujitokeza wakati kenya ilipokuwa inaunguzwa kisiasa, kiuchumi na utawala uliopita, tangu kenyatta? Wakati juhudi za kuweka misingi ya mendeleo inapobuniwa katika nchi nzima ndio munafungua midomo zaidi eti ubaguzi. Huo mradi wa LAPSSET unafanywa nairobi?? Lamu watakuwa na port kama mombasa.
 
What mombasans want is their right. Ile mombasa katika tawala za enzi zile ilitolewa kwa mkataba na wafalme wa Zanzibar na kukubaliana baada ya miaka 50 tangu kuingia mkataba basi mombasa itakua taifa huru,,,, sasa ivi hao jamaa wanadai haki yao
 
What mombasans want is their right. Ile mombasa katika tawala za enzi zile ilitolewa kwa mkataba na wafalme wa Zanzibar na kukubaliana baada ya miaka 50 tangu kuingia mkataba basi mombasa itakua taifa huru,,,, sasa ivi hao jamaa wanadai haki yao

rem its a mere 16 km strip...through and through
 
Hapa pana kazi.... kazi ipo..... is a sort of class struggle. naona hawa ni hatari kuliko Mungiki.

Mungiki?! Serikali ya Kenya imesema MRC ni hatari kuliko Al-Shaabab!!
Wanaweza kuwa na msingi katika madai yao ya kutaka kupata keki ya taifa kama zilivyo sehemu nyingine za Kenya.
Ila kwa vile wengi wao ni waislamu, hakika hilo linafanya madai yao yaonekane kama ya kikundi cha kigaidi.
 
Mungiki?! Serikali ya Kenya imesema MRC ni hatari kuliko Al-Shaabab!!
Wanaweza kuwa na msingi katika madai yao ya kutaka kupata keki ya taifa kama zilivyo sehemu nyingine za Kenya.
Ila kwa vile wengi wao ni waislamu, hakika hilo linafanya madai yao yaonekane kama ya kikundi cha kigaidi.

Mkuu, hebu fafanua hapa kuwa tatizo sio uislamu, tatizo ni vitendo vyao kujitungia Serikali,na shughuli za uhalifu
 
Hivi unavosema ubaguzi umo katika kuleta maendeleo, ni kwa nini hawa hawakujitokeza wakati kenya ilipokuwa inaunguzwa kisiasa, kiuchumi na utawala uliopita, tangu kenyatta? Wakati juhudi za kuweka misingi ya mendeleo inapobuniwa katika nchi nzima ndio munafungua midomo zaidi eti ubaguzi. Huo mradi wa LAPSSET unafanywa nairobi?? Lamu watakuwa na port kama mombasa.

walikuwa bega kwa bega kama wananchi wengine katika kumng'oa mkoloni....... ila tatizo ni kuwa baada ya kupata uhuru (kipindi cha Kenyatta) sera ikawa...... sasa tumeua Tembo.... kinachobaki ni kuwa kila mutu ikate nyama kulingana ukali ya kisu yake..... sasa ikawa shida ni kwa ndugu zetu wa Mombasa hawakuwa na majambia wala visu vikali ... matokeo yake wakakata nyama kidogo..... kikuyu ikakata nyama kubwa, jaluo ikakata nyama kubwa kiasi.... waluya ikakata nyama ya kutosha, kalenjini kiasi, pokoti ikakata nyama kidogo sana...
 
Mkuu, hebu fafanua hapa kuwa tatizo sio uislamu, tatizo ni vitendo vyao kujitungia Serikali,na shughuli za uhalifu
Mzalendo, naelewa hilo mzee.
Lakini "kilemba walichokivaa" MRC, hakika kinawaponza katika harakati zao. Ni aibu kwa dunia ya sasa kuwaza mambo katika misingi hiyo; lakini hali ndivyo ilivyo kwa watu wengi, ndiyo maana pengine si ajabu kusikia Odinga na Kibaki wakisema MRC ni hatari zaidi ya Al-Shabaab.
Hivi umejiuliza kwanini wamesema hivyo? Kwanini wasiseme ni zaidi ya Mungiki? Yaani wanamanisha MRC ni kikundi cha kigaidi au?
Licha ya kwamba pengine kitendo cha MRC kutaka kudai hiyo Coastal Province iwe nchi kamili si kizuri katika zama hizi za kutafuta muungano wa Afrika, lakini wao kuitwa zaidi ya Al-Shabaab, hakika imenifanya nijiulize maswali mengi sana.
 
Last edited by a moderator:
Mzalendo, naelewa hilo mzee.
Lakini "kilemba walichokivaa" MRC, hakika kinawaponza katika harakati zao. Ni aibu kwa dunia ya sasa kuwaza mambo katika misingi hiyo; lakini hali ndivyo ilivyo kwa watu wengi, ndiyo maana pengine si ajabu kusikia Odinga na Kibaki wakisema MRC ni hatari zaidi ya Al-Shabaab.
Hivi umejiuliza kwanini wamesema hivyo? Kwanini wasiseme ni zaidi ya Mungiki? Yaani wanamanisha MRC ni kikundi cha kigaidi au?
Licha ya kwamba pengine kitendo cha MRC kutaka kudai hiyo Coastal Province iwe nchi kamili si kizuri katika zama hizi za kutafuta muungano wa Afrika, lakini wao kuitwa zaidi ya Al-Shabaab, hakika imenifanya nijiulize maswali mengi sana.

Hivi nakuelewa, lakini tunajaribu kuweka pointi ya udini haswa uislamu inje ya mada, na tuangalie repurcussions za kuwafadhili hawa watu. Ukweli ni kwamba, kilemba wnachokitumia ni cha kujivika ili ukweli usijulikane. Haswa loopholes zimefungwa za illegal trade, ndo mabwenyenye wanalia foul au?
 
walikuwa bega kwa bega kama wananchi wengine katika kumng'oa mkoloni....... ila tatizo ni kuwa baada ya kupata uhuru (kipindi cha Kenyatta) sera ikawa...... sasa tumeua Tembo.... kinachobaki ni kuwa kila mutu ikate nyama kulingana ukali ya kisu yake..... sasa ikawa shida ni kwa ndugu zetu wa Mombasa hawakuwa na majambia wala visu vikali ... matokeo yake wakakata nyama kidogo..... kikuyu ikakata nyama kubwa, jaluo ikakata nyama kubwa kiasi.... waluya ikakata nyama ya kutosha, kalenjini kiasi, pokoti ikakata nyama kidogo sana...

Haswa eliakeem,

Kenya iko nyuma sana ukitizama makabila mengi umaskini umeenea. Itakuwa jambo la ajabu kikundi kulilia umaskini huku 3/5 ya wakenya kutoka sehemu zote, wanaishi katika umaskini. Wangelilia serikali iwafungulie technical schools na vyuo vikuu. ukweli ni baadhi ya wapwani hawapendi kusoma na huachia shule kati kuingilia biashara haramu, na tunapoelekea itakuwa vigumu kutaka kupenya pasipo na vyeti. Pokot kama ulivotaja, turkana kama ulivotaja hawana hata kilometa ya lami ya barabara. Mambo mengine yatachukua muda ila tusishinikizwe na siasa. Ningewalilia wawe na viongozi ambao wanawaelezea vijana au jamii umihimu wa a free open market kutegemea kuzalisha mapato badala ya kutegemea "Keki"

Tatizo sio umaskini au ukatili/Ukoloni, msingi ni, vijana wanazembea kutia bidii shuleni. Waulize wanaofanya kazi za hotel/catering kama keki wanaochuma wananyanganywa na Serikali. mabadiliko mengi yanastahili yafanywe na Sasa, ndio wakati itafanywa, maana ndio demokrasia kumekucha.
 
[h=3][/h]

Kibaki12.jpg

Rais Kibaki

Kwa mara ya kwanza serikali ya Kenya imetoa onyo kwa makundi yanayopigania kujitenga kwa jimbo la pwani kutoka taifa la Kenya akihutubia kikao cha bunge mjini Nairobi kwa mara ya kwanza tangu kuidhinishwa katiba mpya rais Mwai Kibaki amesema serikali haitakubali kujitenga kwa jimbo la Pwani kutoka taifa la Kenya.

Rais huyo amesema jimbo la Pwani ni ardhi ya Kenya na jimbo hilo halitakubaliwa kujitenga. amesema Kenya ni taifa moja juhudi zozote za kulihgawanya taifa hilo zitakataliwa.

Katika muda wa majuma kadhaa yaliyopita suala hili limekuwa kwenye vyombo vya habari huku baadhi ya wakazi wa pwani wakisema hawatashiriki katika uchaguzi mkuu ujao kwasababu ya kutaka kujitenga na Kenya.

Vijana wafuasi wa kundi la Mombasa la Republikan Council wanadai wamekuwa wakibaguliwa na serikali katika sekta zote za kiuchumi na nia yao ni kujitenga na taifa la Kenya wanadai kwamba jimbo la Pwani liliunganishwa na nchi ya Kenya wakati wa uhuru.

Na viongozi wengi katika mkoa wa Pwani wanawaunga mkono vijana hao wakisema madai yao ni halali na imemlazimu waziri mkuu Raila Odinga kuwasihi vijana hao kuachana na dhana hiyo kama hatua ya kuilazimisha serikali kusikiliza matakwa yao .

Lakini mpaka hivi sasa vijana na wakazi wengi wa jimbo la Pwani bado wanalilia kujitenga na Kenya
 
Harakati za misikitini hizo. Takbiiiiir kibao kwenye hiyo michakato ukiwapo ule unaoendelea kule Zanzibar.
 
Back
Top Bottom