Mombasa Republican Council - kikundi kinachotaka kuwa nchi!

Hao MRC hawawezi kufanikiwa kabisa kwasababu hawana hoja ya msingi. Sababu wanayotoa haiwezi kusikilizwa maana itasababisha enzi mpya ya migogoro barani Africa. Africa na mabara mengine yaliyotawaliwa yaliamua kuheshimu mipaka iliyokuwepo wakati wa uhuru na sasa hawa jamaa kama hawatambui hilo wanatakiwa watoe sababu zinazoeleweka (bila shaka hazipo) kuwa ni kwanini wafuate mipaka ya sultan na sio ile ya tawala za kiafrika kabla ya waarabu kuja pwani ya Afrika mashariki. Lakini pia haishangazi kuona vikundi kama hivyo ktk Afrika maana umaskini umekithiri na uwajibikaji haupo.

Ni kweli kabisa umezungumzia kuwa mipaka iheshimiwe, na hatutaki tusahau vile the biafran idelology ilivoleta migawanyiko, nchini Nigeria. Najua hawa hawana sauti wenyewe.
 
Kuna wengi wanasema kuna harufu ya Al-qaida na ugaid ect , au kwa kuwa wengi ni waislamu ? tunasema kuwa nchi inanuka udini kumbe hata sisi tunacheza hii ngoma ya wanasiasa aidha bila ya kujijua au kwa maslahi yetu(kama wanasisa).
nionavyo mimi kama wanabanwa na serikali ya kenya wana haki ya kuandamana na ili sauti yao isikike ila serikali zetu nyingi za kiafrika viongozi sio wasikivu,hufanya watakayo tu.
sioni kama kuna udini hapa.ukisema wengi wao ni waislamu -hii ni kweli, kwani pwani ya A.mashariki wengi ni waislamu.
 
Kuna wengi wanasema kuna harufu ya Al-qaida na ugaid ect , au kwa kuwa wengi ni waislamu ? tunasema kuwa nchi inanuka udini kumbe hata sisi tunacheza hii ngoma ya wanasiasa aidha bila ya kujijua au kwa maslahi yetu(kama wanasiasa).
nionavyo mimi kama wanabanwa na serikali ya kenya wana haki ya kuandamana na ili sauti yao isikike ila serikali zetu nyingi za kiafrika viongozi sio wasikivu,hufanya watakayo tu.
sioni kama kuna udini hapa.ukisema wengi wao ni waislamu -hii ni kweli, kwani pwani ya A.mashariki wengi ni waislamu.

Mkuu,serikali ya Kenya imetangaza kwamba MRC ni zaidi ya Al-Shaabab. Ni hiyo imetokana na wao kutaka kujitenga na wawe nchi kamili. Hapa suala si kikundi hicho kuandamana tu;kikundi kimeshavuka kiwango hicho. Sasa kinataka kwenda katika levo nyingine,kuwa nchi kamili.
 
Mombasa Republican Council wao wanataka kuleta migwanyiko kati za sehemu za wapwani. Nimejaribu kufuatilia malalamishi yao na
ninakuta kuwa wanalalamikia zaidi kutopata makazi na swala la ardhi. Wangalijua wangalitumia jina lingine. pwani ni sehemu kubwa kutoka Lamu hadi kilifi na malindi. Hii ni kama vita vya kidini vya nukia

Mkuu nakuhunga mkono, hata mimi naona ni mambo ya kidini.
 
Let me assure you there is a huge number of MRC fuelled activities in mombasa, you actually heard what went down near kongowea market. 4 guards were exterminated by gangstars. Whether mungiki or MRC, the philosophy of the matter is innocent civilians are facing a full brunt of terror activities. Right now, the politics of negotiations to foster or babysit terror groups is the last thing we need as a country.

.......Second do you actually know why such groups exist? just like political parties, they are like campaign vehicles but at least this time, tyrannical forms of vehicles to force the votes of a block to swing to a paricular angle. trust me they are. remeber the Moi era when such groups like jeshi la mzee were given room to thrive and while under there, hooligans who could just do anything under the name of vigilante groups.

we converge under two banners;
1) GoK should not tolerate MRC as an outfit which is linked to organised crime...
2) MRC uses reasons and artifacts not recognised by the Kenyan republic and which dont summount and justify the quest for secession.

When i listen to there leaders speak the one thing i see are a people with a right cause using wrong platforms to achieve there so needed personal needs. They claim to have there own Baraza/govt and need not politicians but from there dressing code one reads poverty and further abject poverty, they lack an education and one wonders whom theyl lead. Though some Sheiks preach MRC in the mosques, its worth to note the majority want to secede just cause the area has been marginalised for too long and in there quest they associate less with Islam but perceived economic sabbotage for lack of a better word. Its a battle for class and availability of social amenities, the perceived rich vs the poor, the dev vs the underdeveloped, the capital generators vis a vis point of utilization.
Disclaimer: 'i may be wrong hence am not putting your assertions away either, some religions contribute to radicallism'
 
we converge under two banners;
1) GoK should not tolerate MRC as an outfit which is linked to organised crime...
2) MRC uses reasons and artifacts not recognised by the Kenyan republic and which dont summount and justify the quest for secession.

When i listen to there leaders speak the one thing i see are a people with a right cause using wrong platforms to achieve there so needed personal needs. They claim to have there own Baraza/govt and need not politicians but from there dressing code one reads poverty and further abject poverty, they lack an education and one wonders whom theyl lead. Though some Sheiks preach MRC in the mosques, its worth to note the majority want to secede just cause the area has been marginalised for too long and in there quest they associate less with Islam but perceived economic sabbotage for lack of a better word. Its a battle for class and availability of social amenities, the perceived rich vs the poor, the dev vs the underdeveloped, the capital generators vis a vis point of utilization.
Disclaimer: 'i may be wrong hence am not putting your assertions away either, some religions contribute to radicallism'

Neither am I saying this things as an oath, but they are championing for the cause of marginalized people residing in a common area and struggling for the rights of land, housing, and social amenities. Apart from lacking capital generators, we have to really see that their culture and modes of existence has been caught up somewhere by rapid modernization which is sweeping through as the country is gearing towards swift modernization. Most of their local government apparatus has fallen into the hands of incompetent people, unable to run and maintain effectively national assets of importance as an earlier report had shown this month. Injustices committed to them can only be pointed to the past colonial hierachy, which also other areas in Kenya experienced the same in areas like bomet, Kisii, and rift valley just to name a few. Judging from History, the town since independence has had a peaceful existence save for land clashes between locals. They may disassociate from mainstream politics, but PS, realize that is where the danger lies because, they have their own "government".
 
Neither am I saying this things as an oath, but they are championing for the cause of marginalized people residing in a common area and struggling for the rights of land, housing, and social amenities. Apart from lacking capital generators, we have to really see that their culture and modes of existence has been caught up somewhere by rapid modernization which is sweeping through as the country is gearing towards swift modernization. Most of their local government apparatus has fallen into the hands of incompetent people, unable to run and maintain effectively national assets of importance as an earlier report had shown this month. Injustices committed to them can only be pointed to the past colonial hierachy, which also other areas in Kenya experienced the same in areas like bomet, Kisii, and rift valley just to name a few. Judging from History, the town since independence has had a peaceful existence save for land clashes between locals. They may disassociate from mainstream politics, but PS, realize that is where the danger lies because, they have their own "government".

we are articulating for and about the same thing with negligible variance from point of departure. actually i think we are in tandem on the core issue i.e. 1) MRC shouldnt be nursed, 2) what they experience is synonymous to other regions and theres' is no special case.
 
Odinga--"We can not, and we will not negotiate with MRC"

Source--Live at 9--Citizen TV, Nairobi.
 
A protester has died during clashes between police and a group which wants independence for the Coast region around Mombasa.
A member of the Mombasa Republican Council (MRC) died after being hit on the head by a stone thrown by a fellow protester, police say.
Police fired tear gas to prevent about 100 MRC members from entering a Mombasa court.
The court is hearing a challenge to a ban on the group.
The MRC argues that the mainly Muslim Coastal region has been ignored by the national government in Nairobi.
Prime Minister Raila Odinga this week rejected holding talks with the MRC, saying it must first drop its demands for independence.
Dozens of MRC members have been arrested in recent days, local media report.
 
pwani.jpg
 
this is the lot, ''pwani si Kenya'' that attracts the attention of the administration police. Did u attest to the dressing code of those officers? Forget the blues, the green squad in town will have MRC sing ''Pwani ni Kenya''. Limited GSU deployment for supervision. They wanted a bold police presence the orders are out.....WATCH THIS SPACE.
 
Hapa pana kazi.... kazi ipo..... is a sort of class struggle. naona hawa ni hatari kuliko Mungiki.
 
Hapa pana kazi.... kazi ipo..... is a sort of class struggle.

i agree but what they champion for doesnt go down well with all Kenyans; the authority and vision 2030 blueprint where economic reforms encompass the coastal areas. Inequality is everywhere, how did they qualify to be the second largest city in Kenya anyway? I think this lot is troublesome to say the least even though they have genuine concerns. as long as they chant secession they are DOOMED!!!! Pwani si Kenya ni somalia? They are in for a rude shock and ICC unfortunately wont listen to them.
 
KIBAKI WARNS MRC: Kenya is a unitary state
and calls for secession should be rejected.
Coast Province is and will remain part of
Kenya.
 
Ndio hiyo: nilikwambia biafran ideology minus miltary involvement. GK should institute Red alert Askari wa utawala hawataweza kuwathibiti hawa separist lobby group, ila******* GSU***
 
On 25th of April, 2012, during the State of Union Address, president Mwai Kibaki explicitly declares that Mombasa (MRC's stronghold) will remain as part of Kenya.
 
Ndio hiyo: nilikwambia biafran ideology minus miltary involvement. GK should institute Red alert Askari wa utawala hawataweza kuwathibiti hawa separist lobby group, ila******* GSU***

kabsar.... Mayb theyl understand why GSU are also referred to as 'Garrisson Support Unit'....hata hivyo askari tawala are quite a potent outfit considering they are a paramilitary force and the first line of defence before military mobilisation. MRC sijui wana shida gani na watajutia haya.
 
Source amka na BBC

Wanadai wananyonywa na hawana maendeleo na wameanzisha kikundi ambacho kimeamzisha vuguvugu warudi enzi zile kabla ya uhuru na wanataka wawe chini ya Sultani wa Zanzibar.

Lakini rais Kibaki aonya ole wao na watakiona
 
Back
Top Bottom