Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Kundi la Mombasa linalotaka kujitenga na kuwa nchi kamili.
Tayari kundi lina rais na baraza la mawaziri ambao wapo tayari kuendesha hiyo "nchi" yao. Kundi hili limekuwa na ajenda ya kujitenga na kutengeneza jamhuri ya Mombasa toka mwaka 1999!
Wanadai wamekuwa chini ya utawala wa Kenya,utawala ambao umewasahau na hauwatendei haki.
Baadhi ya viongozi wa dini zote, wakristo na waislamu huko Mombasa wanaonekana kuliunga mkono kundi hilo. Ingawa serikali ya Kenya imeliita kundi hilo ni haramu,tena ni la kuogopwa zaidi ya Al-Shaabab.
Nasikia harufu ya udini mkali sana hapa. Kwani walio kwenye harakati hizi wengi ni waislamu. Na sasa hali imekuwa mbaya kwa kundi hili kuonekana kuwa TISHIO zaidi ya Al-Shaabab!
Mh! Yangu macho.
Source: Citizen-Nipashe.
Tayari kundi lina rais na baraza la mawaziri ambao wapo tayari kuendesha hiyo "nchi" yao. Kundi hili limekuwa na ajenda ya kujitenga na kutengeneza jamhuri ya Mombasa toka mwaka 1999!
Wanadai wamekuwa chini ya utawala wa Kenya,utawala ambao umewasahau na hauwatendei haki.
Baadhi ya viongozi wa dini zote, wakristo na waislamu huko Mombasa wanaonekana kuliunga mkono kundi hilo. Ingawa serikali ya Kenya imeliita kundi hilo ni haramu,tena ni la kuogopwa zaidi ya Al-Shaabab.
Nasikia harufu ya udini mkali sana hapa. Kwani walio kwenye harakati hizi wengi ni waislamu. Na sasa hali imekuwa mbaya kwa kundi hili kuonekana kuwa TISHIO zaidi ya Al-Shaabab!
Mh! Yangu macho.
Source: Citizen-Nipashe.